CAF wanasema simba haijawah fika nusu fainal ya CAF Championship-ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika

Yeah, mwaka 1974 Simba ilifika Nusu Fainali ya Africa Cup of Champions Clubs (kwa kiswahili ni kombe la vilabu bingwa vya Afrika), na mwaka 1993 ilifika fainali ya CAF Cup (kwa kiswahili ni kombe la shirikisho la soka la Africa)
Unataka kutuaminisha kwamba CAF Cup ndio Kombe la Shirikisho?

Jinga kweli wewe, ndio maana tunaitwa mbumbumbu.

CAF Confederation Cup itaitwaje?

Kumbuka 1993 kulikuwepo na makombe 3 ya CAF yanashindaniwa na ilo waliloshiriki Simba lililuwa kombe la mshindi wa 3.
 
lakini uto kwa pesa walizotumia hata hili la kuingia nusu angalau litawapoza japo bado ni hasara
Wewe kweli funza sasa kwa akili yako timu ya mamelod kuna mchezaji wamemsajili thamani yake inazidi thamani ya komba la CAF ambalo yeye anashindana,hivi wewe funza unadhani bajeti ya al ahly kwa msimu mzima unafanana na thamani ya kombe la afrika?
 
Wewe kweli funza sasa kwa akili yako timu ya mamelod kuna mchezaji wamemsajili thamani yake inazidi thamani ya komba la CAF ambalo yeye anashindana,hivi wewe funza unadhani bajeti ya al ahly kwa msimu mzima unafanana na thamani ya kombe la afrika?
umeandika ugwadu
 
Ukisoma hapa huyu admin anasema first ever akimaanisha kwamba hawajawah fika, ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika 1974 sasa tumwamin nani kati ya CAF au wachambuzi lia lia wa Tanzania

Mashabiki wa simba matusi yenu pelekeni tu CAF mim tu nimeleta habari nikiambatanisha na risit
Tatizo ni uelewa tu.
Mfano hapa kwetu hii premier kuna kipindi hapo nyuma ilijulikana kama ligi daraja la kwanza baadae ligi kuu.
Unapotaka kusema timu fulani haijachukua kombe la ligi kuu unakuwa unazungimzia tangu jina hilo limeanza hata kama amewahi kuwa bingwa wa ligi daraja la kwanza.
Najaribu kuelewa tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni uelewa tu.
Mfano hapa kwetu hii premier kuna kipindi hapo nyuma ilijulikana kama ligi daraja la kwanza baadae ligi kuu.
Unapotaka kusema timu fulani haijachukua kombe la ligi kuu unakuwa unazungimzia tangu jina hilo limeanza hata kama amewahi kuwa bingwa wa ligi daraja la kwanza.
Najaribu kuelewa tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mitandao ipo, muwe mnajisomea kabla ya kuandika ujinga.

Screenshot_20230425-215124_Chrome.jpg
 
Tatizo ni uelewa tu.
Mfano hapa kwetu hii premier kuna kipindi hapo nyuma ilijulikana kama ligi daraja la kwanza baadae ligi kuu.
Unapotaka kusema timu fulani haijachukua kombe la ligi kuu unakuwa unazungimzia tangu jina hilo limeanza hata kama amewahi kuwa bingwa wa ligi daraja la kwanza.
Najaribu kuelewa tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
CAF wamesema ni first time ever
Unajua maana ya first time ever inamaana hawajawah in any occasion
 
Unataka kutuaminisha kwamba CAF Cup ndio Kombe la Shirikisho?

Jinga kweli wewe, ndio maana tunaitwa mbumbumbu.

CAF Confederation Cup itaitwaje?

Kumbuka 1993 kulikuwepo na makombe 3 ya CAF yanashindaniwa na ilo waliloshiriki Simba lililuwa kombe la mshindi wa 3.
Na bingwa wa kombe la NYERERE ndio alikuwa anshiriki kombe la washindi barani afrika
 
Unataka kutuaminisha kwamba CAF Cup ndio Kombe la Shirikisho?
Jinga kweli wewe, ndio maana tunaitwa mbumbumbu.
Mjinga ni wewe ambaye hujui hata tafsiri na kirefu cha CAF. Inawezekana hata hujui kuwa TFF ni shirikisho ! 😁
 
Achana na nusu fainali simba ilishafika fainali na ikatolewa haa Dar!! Labda kipindi hicho ulikuwa unanyonya!!
 
Back
Top Bottom