Tatizo taifa hili ni la watu wajinga viongozi wa timu , mashabiki mpaka tff.
Makombe yalikua matatu
Simba alicheza lenye hadhi ya mwisho (tier 3)
Baadae lenye hadhi ya pili na tatu wakaunga(au kuvunja) kutengeneza hili shirikisho la sasa.
Lakini kuna baadhi ya mashabiki , timu yenyewe huwaambii kitu hapa.
Nilikuja kukata tamaa raisi ws tff huyu karia-- yanga walivofika fainali , akaswma hata simba alifika mwaka 93, bila ya kutoa ufafanuzi wowote
CAF katoa ukumbusho -- tuwe realistic