Huyu ni bisaka pureTuache utani huyu jamaa na mwenzake kapombe zile nafasi wanazotendea haki kwa kweli.
Usishangae acha kapombe aongezewe mtuNashangaa Simba tunamtaka yule Beki wa Kulia wa AS VITA sjui Kapombe itakuwaje. All in All SIMBA SC ni timu ya kuigwa kwa sasa AFRIKA MASHARIKI NA KATI hilo halina Ubishi.
Wale akina APR, GORMAHIA, VITAL O, YANGA, VILLA SC nk Ambao walikuwa wanaisogelea kwa kariiibu kwa sasa wameachwa nyuma mile 1000 kwakweli. Wajipange kuleta changamoto kwa Simba.
daaah
Acha kusikiliza mpira kwenye redioHuyu ni bisaka pure
Hana assist wala krosi
Leta stats kunipingaAcha kusikiliza mpira kwenye redio
Tuache utani huyu jamaa na mwenzake kapombe zile nafasi wanazotendea haki kwa kweli.
Nashangaa Simba tunamtaka yule Beki wa Kulia wa AS VITA sjui Kapombe itakuwaje. All in All SIMBA SC ni timu ya kuigwa kwa sasa AFRIKA MASHARIKI NA KATI hilo halina Ubishi.
Wale akina APR, GORMAHIA, VITAL O, YANGA, VILLA SC nk Ambao walikuwa wanaisogelea kwa kariiibu kwa sasa wameachwa nyuma mile 1000 kwakweli. Wajipange kuleta changamoto kwa Simba.
daaah
Tunawakera tu, wachambuzi nao wamenywea sana saiv nahis wanajiona ovyo kuitabiria simba vibaya
Usishangae acha kapombe aongezewe mtu
Sijui wanakwama wap kutumia akili zaoJeff lea na viingereza vyake
Sijui wanakwama wap kutumia akili zao
Kwamba hawapigi hata krosi.. (jana zimbwe kafunga)Leta stats kunipinga
Hv wadau baada ya Hz mechi za makundi kuisha ,Itapigwa droo au anayeongoza Kundi. A basi anakutana na wa pili kundi B
hakuna droo. Winner wa Group A anacheza na runner wa group B,winner wa B na runner wa A. Hivyo kwa C&D. Kwa hiyo tukiwa wa 2 tutakutana na Mamelod,tukiwa winner tutacheza na mdebwedo wa BHv wadau baada ya Hz mechi za makundi kuisha ,Itapigwa droo au anayeongoza Kundi. A basi anakutana na wa pili kundi B,?
Manula kuingia ni ngumu maana hatushambuliwiKiukweli Manula ndio alistahiki kukaa hapo. Maana ana Clean sheet kwa mechi zote. Huyo onyango alishapopolewa.
Hapa kuna haja ya kuongoza kundi ili tukutane na hawa midebwedo bt nikimwangalia huyu anayeongoza group B ni wa moto sana yeye ni dozi tuhakuna droo. Winner wa Group A anacheza na runner wa group B,winner wa B na runner wa A. Hivyo kwa C&D. Kwa hiyo tukiwa wa 2 tutakutana na Mamelod,tukiwa winner tutacheza na mdebwedo wa B