CAF Team of the Week, Luis Miqsone na Zimbwe Jr ndani

Nashangaa Simba tunamtaka yule Beki wa Kulia wa AS VITA sjui Kapombe itakuwaje. All in All SIMBA SC ni timu ya kuigwa kwa sasa AFRIKA MASHARIKI NA KATI hilo halina Ubishi.

Wale akina APR, GORMAHIA, VITAL O, YANGA, VILLA SC nk Ambao walikuwa wanaisogelea kwa kariiibu kwa sasa wameachwa nyuma mile 1000 kwakweli. Wajipange kuleta changamoto kwa Simba.


daaah
Usishangae acha kapombe aongezewe mtu
 
Mpira Pesa,mashabiki na mipango madhubuti
Nashangaa Simba tunamtaka yule Beki wa Kulia wa AS VITA sjui Kapombe itakuwaje. All in All SIMBA SC ni timu ya kuigwa kwa sasa AFRIKA MASHARIKI NA KATI hilo halina Ubishi.

Wale akina APR, GORMAHIA, VITAL O, YANGA, VILLA SC nk Ambao walikuwa wanaisogelea kwa kariiibu kwa sasa wameachwa nyuma mile 1000 kwakweli. Wajipange kuleta changamoto kwa Simba.


daaah
 
Hv wadau baada ya Hz mechi za makundi kuisha ,Itapigwa droo au anayeongoza Kundi. A basi anakutana na wa pili kundi B,?
 
Hv wadau baada ya Hz mechi za makundi kuisha ,Itapigwa droo au anayeongoza Kundi. A basi anakutana na wa pili kundi B

Hv wadau baada ya Hz mechi za makundi kuisha ,Itapigwa droo au anayeongoza Kundi. A basi anakutana na wa pili kundi B,?
hakuna droo. Winner wa Group A anacheza na runner wa group B,winner wa B na runner wa A. Hivyo kwa C&D. Kwa hiyo tukiwa wa 2 tutakutana na Mamelod,tukiwa winner tutacheza na mdebwedo wa B
 
hakuna droo. Winner wa Group A anacheza na runner wa group B,winner wa B na runner wa A. Hivyo kwa C&D. Kwa hiyo tukiwa wa 2 tutakutana na Mamelod,tukiwa winner tutacheza na mdebwedo wa B
Hapa kuna haja ya kuongoza kundi ili tukutane na hawa midebwedo bt nikimwangalia huyu anayeongoza group B ni wa moto sana yeye ni dozi tu
 
Back
Top Bottom