CAF kwanini wanalea utamaduni mbaya wa kushangilia unaofanywa na waarabu?

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,414
5,279
Team kutoka Kaskazini mwa Africa. Zimekuwa zikifika uhuni mwingi ili kupata matokeo changa kwenye michezo yao. Uhuni huo sio uungwana kwenye football. Lakini utashangaa jinsi CAF wanavyokaa kimya bila kutoa adhabu yoyote ili kukomesha huu uhuni.

Tujikumbushe namba fainali kati ya Young Africans na USM Alger ilivyoharibiwa a mbinu chafu na za kihuni. Wanatumia ball boys kupoteza muda. Kutumia tochi kumulika wachezaji wa team pinzani.

Wanatumia watu wa huduma ya kwanza na matabibu wa team kupoteza muda.

Kujiangusha ovyo uwanjani.

Kuhonga waamuzi na matendo mengine mabaya.

Tujikumbushe pia uhuni kati ya mechi ya Al Ahly vs Al Hilal
Simba vs Wydad
Simba vs Raja
CAF wawajibishe warabu na uhuni na dhuluma zao katika football
Ama kweli warabu ni watu wenye tamaduni za ovyo ni watu ovyo ovyo tu. Mungu awasaidie ustaarabu na utu uwafikie waarabu
 
Bila shaka ni hizo hujuma zimechangia sana
Moshi na ukungu vilitanda uwanjani na kuharibu concentration ya mchezo
Acheni visingizio mlizidiwa, nyinyi mlipo ifunga simba 5 mbona mlichoma hayo mafataki yenye rangi ya njano na kijani?

Alafu hakuna sheria yeyote ya fifa inayo kataza mafataki uwanjani labda ww kama sio mfuatiriaji wa lingi mbali mbali duniani.

Kwenye ligi za Ujerumani na Ufaransa mafataki yamekuwa yakitumika sana tu.

Ukienda kwenye ligi za America ya kusini hata waarabuni wakasome.
 
Acheni visingizio mlizidiwa, nyinyi mlipo ifunga simba 5 mbona mlichoma hayo mafataki yenye rangi ya njano na kijani?

Alafu hakuna sheria yeyote ya fifa inayo kataza mafataki uwanjani labda ww kama sio mfuatiriaji wa lingi mbali mbali duniani.

Kwenye ligi za Ujerumani na Ufaransa mafataki yamekuwa yakitumika sana tu.

Ukienda kwenye ligi za America ya kusini hata waarabuni wakasome.
Haya tetea upuuzi mtaenda Moroco ndo utafuhia huu uhuni
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu
 
Haya tetea upuuzi mtaenda Moroco ndo utafuhia huu uhuni
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu
Mkiambiwa hamna akili mna kasirika.

Kwahiyo unaitisha simba kuwa ikienda Morocco itafanyiwa hivyo kwani simba ndo mara ya kwanza kwenda uarabuni na kucheza huku mafataki yakiwa yamewashwa?

Ww ndio mbumbu kwa sababu CAF haijawahi kuwakataza nyinyi kuwasha mafataki na kama wanavyo fanya waarabu.

Suala la kuwasha fataki lipo kwenye maamuzi ya mashabiki wa timu husika nyinyi kama mnaona mlifungwa kwa sababu ya huo moshi basi na nyinyi subirini waje hapo taifa muwashe huo moshi wa hayo mafataki tuone kama mtaweza kuwafunga hizo goli 3 walizo wafunga.
 
Mkiambiwa hamna akili mna kasirika.

Kwahiyo unaitisha simba kuwa ikienda Morocco itafanyiwa hivyo kwani simba ndo mara ya kwanza kwenda uarabuni na kucheza huku mafataki yakiwa yamewashwa?

Ww ndio mbumbu kwa sababu CAF haijawahi kuwakataza nyinyi kuwasha mafataki na kama wanavyo fanya waarabu.

Suala la kuwasha fataki lipo kwenye maamuzi ya mashabiki wa timu husika nyinyi kama mnaona mlifungwa kwa sababu ya huo moshi basi na nyinyi subirini waje hapo taifa muwashe huo moshi wa hayo mafataki tuone kama mtaweza kuwafunga hizo goli 3 walizo wafunga.
Ushawahi kushindi ukiwa kaskazini/ uarabuni?
 
Team kutoka Kaskazini mwa Africa
Zimekuwa zikifika uhuni mwingi ili kupata matokeo changa kwenye michezo yao
Uhuni huo sio uungwana kwenye football
Lakini utashangaa jinsi CAF wanavyokaa kimya bila kutoa adhabu yoyote ili kukomesha huu uhuni

Tujikumbushe namba fainali kati ya Young Africans na USM Alger ilivyoharibiwa a mbinu chafu na za kihuni

Wanatumia ball boys kupoteza muda
Kutumia tochi kumulika wachezaji wa team pinzani,

Wanatumia watu wa huduma ya kwanza na matabibu wa team kupoteza muda

Kujiangusha ovyo uwanjani

Kuhonga waamuzi na matendo mengine mabaya

Tujikumbushe pia uhuni kati ya mechi ya Al ahly vs al hilal
Simba vs wydad
Simba vs Raja
CAF wawajibishe warabu na uhuni na dhuluma zao katika football
Ama kweli warabu ni watu wenye tamaduni za ovyo ni watu ovyo ovyo tu
Mungu awasaidie ustaarabu na utu uwafikie waarabu
Dawa yake ni kufanya wanavyofanya ama kubuni mbinu nzuri zaidi faini zinalipika tu mradi ushindi
 
Team kutoka Kaskazini mwa Africa
Zimekuwa zikifika uhuni mwingi ili kupata matokeo changa kwenye michezo yao
Uhuni huo sio uungwana kwenye football
Lakini utashangaa jinsi CAF wanavyokaa kimya bila kutoa adhabu yoyote ili kukomesha huu uhuni

Tujikumbushe namba fainali kati ya Young Africans na USM Alger ilivyoharibiwa a mbinu chafu na za kihuni

Wanatumia ball boys kupoteza muda
Kutumia tochi kumulika wachezaji wa team pinzani,

Wanatumia watu wa huduma ya kwanza na matabibu wa team kupoteza muda

Kujiangusha ovyo uwanjani

Kuhonga waamuzi na matendo mengine mabaya

Tujikumbushe pia uhuni kati ya mechi ya Al ahly vs al hilal
Simba vs wydad
Simba vs Raja
CAF wawajibishe warabu na uhuni na dhuluma zao katika football
Ama kweli warabu ni watu wenye tamaduni za ovyo ni watu ovyo ovyo tu
Mungu awasaidie ustaarabu na utu uwafikie waarabu

Ulichokiandika ni pointless
 
Acheni visingizio mlizidiwa, nyinyi mlipo ifunga simba 5 mbona mlichoma hayo mafataki yenye rangi ya njano na kijani?

Alafu hakuna sheria yeyote ya fifa inayo kataza mafataki uwanjani labda ww kama sio mfuatiriaji wa lingi mbali mbali duniani.

Kwenye ligi za Ujerumani na Ufaransa mafataki yamekuwa yakitumika sana tu.

Ukienda kwenye ligi za America ya kusini hata waarabuni wakasome.

Huyu ngara23 ameongea pointless, waarabu wamejaaliwa mpira, sasa yeye analeta ubaguzi tena, akubali matokeo tu, na aache kulalamika
 
Lakini mkuu mbona mafataki yamekuwa yakitumika kwenye ligi nyingi duniani ikiwemo huko ulaya?

Pia kumbuka hakuna sheria yeyote katika kanuni za fifa zinazo haramisha mafataki uwanjani.
Nasema hivi kwa sababu msimu uliopita Yanga ilipigwa faini na CAF hao hao, kwa makosa ya kufikirika.
Ila Waarabu wakifanya ya aina hiyo hiyo, huwezi kuwaona hao CAF wakiwachukulia hatua.
 
Back
Top Bottom