CAF Champions League

Unajuaje kama yalikuwa ni madawa ya kishirikina?

Je waumini wa imani za Kikristo au Kiislamu huwa hawana vitu au materials zinazowaaminisha kuwa ni ulinzi?

Kwa nini usiamini kuwa alikuwa akitandaza kitu ambacho kwa imani yake ya dini kinamuaminisha ni ulinzi?
 

My Foot...Utaifa uko kwenye timu ya taifa

Yaani nipoteze mda eti kuitakia Yanga ishinde?? ntakuwa kichaa

Yanga waishangilie Manji na Bin Kleb

Nashukuru saaaaaana wamepigwa

Manake wangeendelea tu kutumia pesa na wasingefika popote

Kwanza Al Ahly wenyewe wabovu.

Kukubali kufikishwa kwenye matuta na timu mbovu kama Yanga ni upuuzi.

Yanga saizi yao ni Ruvu Shooting.Mkija kwa Simba tunawagonga saba this time
 
nimeamini washabiki wa simba ni washamba saaaaaaanaaaaaaaaaaaaaaaa, wanaishi kutegemea uchaaaaaawiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Hukumwona Dida akiwa analoga kwenye goli anamwaga unga unga............
 
Hongera kwa kuongeza idadi ya posts...

 
Kwa wale waliobahatika kuona mechi ya Yanga na Al ahly uwanja wa taifa DSM na ile ya marudiano iliyofanyika jana na kuoneshwa moja kwa moja na Al ahly TV, bila kujali ushabiki watakubaliana na mimi kuwa Yanga walijitahidi kuonesha soka la hali ya juu katika mechi zote mbili. Kama wataendelea hivi bila migogoro na siasa za bongo, wanaweza kufika mbali maana wamepiga boli kama la Arsenal, Bacelona, Bayan Munich na au Real Madrid. Ingawa wametolewa kwa penati, mpira waliouonesha ni wa kiwango cha hali ya juu. Ninaomba wana Yanga na viongozi wasimwandame mchezaji aliyekosa penati ambayo ingewapa ushindi kwani hilo ni tukio la kawaida katika michezo hata kina Ozil, Christiano Ronaldo, Baloteli nao huwa wakati mwingine wanakosa penati. WELL DONE YANGA!
 

Well done Maana pamoja na fitina za waarabu lakini dakika 90 wakakwama
 
Ngoja waludi ktk ligi yao wanaposhinda mechi kwa kuhonga mifweza timu pinzani....
 

nakubaliana nawe kwa game la kwanza tu. game la jana walikimbizwa sana. kujitahidi ni ile hali ya kuondoa uteja wa kupigwa nyingi. Nadhani leo wachezaji watakuwa wamechoka sana. Bahati nzuri kanuni ya mashindano haya ni kupigiana matuta kama mambo yatakuwa sare. ingetokea kuwa kanuni ni kuongezewa dakika 30 basi aibu ingekuwa ile ile ya kupigwa nyingi. Tusisahahu kwenda kuwapokea vijana uwanja wa ndege na kuwapa pole kwa kipigo na kukimbizwa pia. Wale waliokosa penati nina mashaka kama wataendelea kuwepo msimu ujao kwani wananchi nawajua sana. maamuzi yao huja kwa basis ya mechi moja tu. Ni kama vile alivyoingia bahanuzi. mchezaji anaozea kwenye benchi halafu unamuingiza katika game kam lile unategemea nini. mtaamua weneyewe mumfanye nini ila namshauri aanze mikakati ya kutafuta timu nyingine msimu ujao
 
A na B yote majibu

Poleni sana ...karibuni nyumbani tuandike katiba mpya...nyie ni wa hapa hapa tu...saizi yenu Ruvu Shooting na Wavuvi wa Commorro...Yanga wana bore sana...timu dhaifu kama ile wanashindwa kuifunga
 
Poleni sana ...karibuni nyumbani tuandike katiba mpya...nyie ni wa hapa hapa tu...saizi yenu Ruvu Shooting na Wavuvi wa Commorro...Yanga wana bore sana...timu dhaifu kama ile wanashindwa kuifunga

Unacheza! Kama Simba kashindwa kumfunga Prisons wa Mbeya unategemea Yanga amfunge bingwa mtetezi?
 
Unacheza! Kama Simba kashindwa kumfunga Prisons wa Mbeya unategemea Yanga amfunge bingwa mtetezi?

Kaka...Al Ahly ya sasaivi ni mbovu mno...mapigano yamewaathiri sana...hata kwenye timu yao ya taifa unakumbuka walipigwa sita na Ghana.............Kwa ile Al Ahly hata wangecheza na Prisons wangefungwa...Sasa watani mnaenda kule kuleta mzaha...Tatizo hamna wachezaji mna wasusi...pale mchezaji ni Okwi tu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…