rubaman JF-Expert Member Joined Sep 10, 2011 Posts 4,983 Reaction score 3,084 Mar 9, 2014 #741 Belo said: Wigan ni giant killer,na wana historia nzuri sana na Wembley hivi karibuni Click to expand... Wataandika historia nyingine ya kufungwa Wembley....
Belo said: Wigan ni giant killer,na wana historia nzuri sana na Wembley hivi karibuni Click to expand... Wataandika historia nyingine ya kufungwa Wembley....
Kilimo JF-Expert Member Joined Sep 27, 2011 Posts 777 Reaction score 194 Mar 9, 2014 #742 kipa wa yanga kapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha mpira
Logikos JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 17,572 Reaction score 27,318 Mar 9, 2014 #743 waarabu wana dive sana
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #744 kipa kadi ya njano ni nini tena hiyo
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,902 Reaction score 28,021 Mar 9, 2014 #745 Al-Ahaly tupeni raha.....Piga hao Yanga..
PayGod JF-Expert Member Joined Mar 4, 2008 Posts 1,259 Reaction score 64 Mar 9, 2014 #746 Mungu saidia
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Mar 9, 2014 #747 utafiti said: Aibuuuu tena aibu kubwa jamani....dida anaweka "vitu" kwenye lango la goli....uchawi live Click to expand... kaka hizo mila....
utafiti said: Aibuuuu tena aibu kubwa jamani....dida anaweka "vitu" kwenye lango la goli....uchawi live Click to expand... kaka hizo mila....
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 19,021 Reaction score 9,177 Mar 9, 2014 #748 DullyJr said: yani nimejilipua nilimpa wigan,hull ct na juve mkeka wa kwanza,wa pili nikampa man ct,lille,madrd,dortmund,espanyol yan nabana mbup mpk znauma Click to expand... Hongera kijana Naona huo Mkeka wa kwanza umegawana Faida na Mhindi.
DullyJr said: yani nimejilipua nilimpa wigan,hull ct na juve mkeka wa kwanza,wa pili nikampa man ct,lille,madrd,dortmund,espanyol yan nabana mbup mpk znauma Click to expand... Hongera kijana Naona huo Mkeka wa kwanza umegawana Faida na Mhindi.
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #749 Katavi said: Abood Tv kwa Moro, na nasikia Azam 2 nao wanaonesha.... Click to expand... mi nawatch via azam 2.... hawa waarabu noumer sana aisee
Katavi said: Abood Tv kwa Moro, na nasikia Azam 2 nao wanaonesha.... Click to expand... mi nawatch via azam 2.... hawa waarabu noumer sana aisee
rubaman JF-Expert Member Joined Sep 10, 2011 Posts 4,983 Reaction score 3,084 Mar 9, 2014 #750 Come on Yanga wapigeni ubaya hawa Waarabu
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,993 Reaction score 11,871 Mar 9, 2014 #751 Kuku(ndala) kashaelekea kibra tayari
Kitoabu JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 11,080 Reaction score 12,319 Mar 9, 2014 #752 watu8 said: Kuna mchezaji wa Ahly yupo chini...sijui alipigwa nyundo na nani huyu? Click to expand... Mkuu humo hauruhusiwi kuingi na nyundo bhana.
watu8 said: Kuna mchezaji wa Ahly yupo chini...sijui alipigwa nyundo na nani huyu? Click to expand... Mkuu humo hauruhusiwi kuingi na nyundo bhana.
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,902 Reaction score 28,021 Mar 9, 2014 #753 Kilimo said: kipa wa yanga kapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha mpira Click to expand... Hawa Yanga wanalaana.....Wasubirie kipigo chao tuu..
Kilimo said: kipa wa yanga kapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha mpira Click to expand... Hawa Yanga wanalaana.....Wasubirie kipigo chao tuu..
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Mar 9, 2014 #754 Deo Corleone said: Waarabu mnazinguaaaaaaaaa! Click to expand... Wapigwe tu,,,,,,,,nasema wapigwe tumechoka.
Deo Corleone said: Waarabu mnazinguaaaaaaaaa! Click to expand... Wapigwe tu,,,,,,,,nasema wapigwe tumechoka.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,320 Reaction score 108,378 Mar 9, 2014 #755 Wachezaji wa yanga bado utulivu sifuri...hawachezi hata pasi kabisa...wanapoteza mipira....ni kama hawajiamini
Wachezaji wa yanga bado utulivu sifuri...hawachezi hata pasi kabisa...wanapoteza mipira....ni kama hawajiamini
Ngongoseke JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 3,202 Reaction score 1,464 Mar 9, 2014 #756 Huyu Okwi sio yule alikuwa simba kabaki jina tu naona hana mchango wowote leo angetoka tu kwani hakuna sub ya maana nje?
Huyu Okwi sio yule alikuwa simba kabaki jina tu naona hana mchango wowote leo angetoka tu kwani hakuna sub ya maana nje?
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Mar 9, 2014 #757 Heaven on Earth said: kipa kadi ya njano ni nini tena hiyo Click to expand... kwani dk yangapi anachelewesha mpira...?
Heaven on Earth said: kipa kadi ya njano ni nini tena hiyo Click to expand... kwani dk yangapi anachelewesha mpira...?
Ntuzu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 17,418 Reaction score 10,877 Mar 9, 2014 #758 utafiti said: Kwanini Ntuzu Click to expand... Nilitaka city awe anashiriki mashindano mengi ili wawe wanachoka iwe rahisi kwa Chelsea kuchukua kombe! Lkn saiz wataweka nguvu kwa EPL sn! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
utafiti said: Kwanini Ntuzu Click to expand... Nilitaka city awe anashiriki mashindano mengi ili wawe wanachoka iwe rahisi kwa Chelsea kuchukua kombe! Lkn saiz wataweka nguvu kwa EPL sn!
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #759 tedo said: Al-Ahaly tupeni raha.....Piga hao Yanga.. Click to expand... we nae
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Mar 9, 2014 #760 kabanga said: kaka hizo mila.... Click to expand... Kaka camera imeonyesha si ni aibu jamani kwa watu? Hizi mila sizo
kabanga said: kaka hizo mila.... Click to expand... Kaka camera imeonyesha si ni aibu jamani kwa watu? Hizi mila sizo