Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,116
- 4,773
Kwa mawazo yangu uteuzi wa naibu waziri wa Fedha Nchemba hauna msingi. Kwa mawazo yangu sijawahi kusikia huyu waziri akiongea sera yeyote ya maana ya Fedha, wanasema mchumi lakini hajawahi kuongea strategy yeyote hapa ya maana, hajui vizuri uchumi wa dunia unavyoenda na ni mwanasiasa zaidi kuliko kiongozi na hata weza kufanya maamuzi bila kuangalia manufaa ya CCM pekee na jinsi ya kudidimiza wapinzani. Kiongozi ambaye anaweka upelelezi wa kutafuta mahawara wa viongozi wa upinzani si kiongozi wa kutegema kuleta maendeleo. Mimi ningeshauri kwenye sehemu za Fedha, Nishati na Madini tutafute wataalamu wenye uzoefu kwenye hizo sehemu na wamefanya kazi na kujua dunia inavyoenda. Vilevile kwa safu ninayoiona hapa ni bora tungetafuta diaspora mwenye uzoefu kwenye mambo ya fedha na amawahi kuwa kiongozi na kutuongoza.
Hii nchi inaendeshwa kihuni sana..
Kwa mawazo yangu uteuzi wa naibu waziri wa Fedha Nchemba hauna msingi. Kwa mawazo yangu sijawahi kusikia huyu waziri akiongea sera yeyote ya maana ya Fedha, wanasema mchumi lakini hajawahi kuongea strategy yeyote hapa ya maana, hajui vizuri uchumi wa dunia unavyoenda na ni mwanasiasa zaidi kuliko kiongozi na hata weza kufanya maamuzi bila kuangalia manufaa ya CCM pekee na jinsi ya kudidimiza wapinzani. Kiongozi ambaye anaweka upelelezi wa kutafuta mahawara wa viongozi wa upinzani si kiongozi wa kutegema kuleta maendeleo. Mimi ningeshauri kwenye sehemu za Fedha, Nishati na Madini tutafute wataalamu wenye uzoefu kwenye hizo sehemu na wamefanya kazi na kujua dunia inavyoenda. Vilevile kwa safu ninayoiona hapa ni bora tungetafuta diaspora mwenye uzoefu kwenye mambo ya fedha na amawahi kuwa kiongozi na kutuongoza.
Mahususi kuandaa fungu la 2015.....