themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,065
- 3,844
Nimetoka kushuhudia mtu kabanwa mkono na Malango analia kama mtoto hapa kisa masongamano wa watu ni mkubwa magari machache.
Ukienda Kivukoni pale vyoo vina wiki vimefungwa hamna huduma. Najiuliza hapa mjini mafundi walivyojaa kuna choo cha kuharibika kikose matengenezo?
Mi nashangaa Rais Samia yupo Busy kutengua wakuu wa mikoa na Wilaya tu ila sehem nyeti kama hizi zinazogusa watanzania wengi ni kama haoni vile, hadi sasa Uongozi wote wa mwendokasi pale haustahili kuwepo kazini
Hebu fikiria Unafanya biashara kwenye njia ya peke yako miaka 8 sasa huna mpinzani, Faida unayopata unapeleka wapi? Hichi kitu Serikali inatakiwa itolee ufafanuzi mwendokasi Faida inaenda wapi
Kampuni kama Shabiby, Abood,Allys zipo kwenye Njia zenye ushindani ila kila mwaka zinamwaga basi za kutosha, hapa mjini kuna watu wanamiliki Daladala zipo kwenye njia zenye washindani ila wanatunza faida na wananunua magari mapya, Ni muda muafaka Mwendokasi watoe ufafanuzi pesa huwa wanapeleka wapi
Gari inashona abiria hadi milango inataka kupasuka alafu unapata faida na hununui Gari mpya uchawi upo
Ukienda Kivukoni pale vyoo vina wiki vimefungwa hamna huduma. Najiuliza hapa mjini mafundi walivyojaa kuna choo cha kuharibika kikose matengenezo?
Mi nashangaa Rais Samia yupo Busy kutengua wakuu wa mikoa na Wilaya tu ila sehem nyeti kama hizi zinazogusa watanzania wengi ni kama haoni vile, hadi sasa Uongozi wote wa mwendokasi pale haustahili kuwepo kazini
Hebu fikiria Unafanya biashara kwenye njia ya peke yako miaka 8 sasa huna mpinzani, Faida unayopata unapeleka wapi? Hichi kitu Serikali inatakiwa itolee ufafanuzi mwendokasi Faida inaenda wapi
Kampuni kama Shabiby, Abood,Allys zipo kwenye Njia zenye ushindani ila kila mwaka zinamwaga basi za kutosha, hapa mjini kuna watu wanamiliki Daladala zipo kwenye njia zenye washindani ila wanatunza faida na wananunua magari mapya, Ni muda muafaka Mwendokasi watoe ufafanuzi pesa huwa wanapeleka wapi
Gari inashona abiria hadi milango inataka kupasuka alafu unapata faida na hununui Gari mpya uchawi upo