LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
Mod msiunganishe uzi wangu
Mabasi kama esther luxury,marangu coach ,bm coach, shabiby coach yanafanya biashara sehem zenye upinzani mkali lakini kwa miaka sita ambayo mwendokasi imeanzishwa, hayo mabasi nliyoyataja yana gari mpya za kumwaga
Mradi wa mwendokasi ambao hauna mpizani kwa miaka sita hawana gari mpya sana sana gari zimekufa na zinapungua, je faida wanayopata inapelekwa wapi?
Watu wanajazana kwenye magari kama viazi kwenye magunia, huu mradi anaeukwamisha ni nani
Ni muda muafaka serikali irudishe baadhi ya daladala kwenye njia amnbazo mwendokasi inafanya kazi,gari 100 haziwezi kuhudumia mamilioni ya watu hapa dar mnaumiza watu tu
Mabasi kama esther luxury,marangu coach ,bm coach, shabiby coach yanafanya biashara sehem zenye upinzani mkali lakini kwa miaka sita ambayo mwendokasi imeanzishwa, hayo mabasi nliyoyataja yana gari mpya za kumwaga
Mradi wa mwendokasi ambao hauna mpizani kwa miaka sita hawana gari mpya sana sana gari zimekufa na zinapungua, je faida wanayopata inapelekwa wapi?
Watu wanajazana kwenye magari kama viazi kwenye magunia, huu mradi anaeukwamisha ni nani
Ni muda muafaka serikali irudishe baadhi ya daladala kwenye njia amnbazo mwendokasi inafanya kazi,gari 100 haziwezi kuhudumia mamilioni ya watu hapa dar mnaumiza watu tu