Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 759
- 1,293
Tigo nivushe imekaaje wadau?
Naomba uzoefu hasa kasi ya kukua kwa kiwango cha mkopoNIKO NA LPESA WAKO VIZURI.
Alafu ndege ikikamatwa kwa nchi kudaiwa wanashangilia.Watanzania si wakukopesha
Sasa wakashindwa kung'amua kwamba huku si Mabepari, wangefanya research kwanza.Si kweli,kampuni zina wawekezaji halisi,Tala inafanya vizuri Sana india na Kenya ambako watu ni mabepari.Huwezi Leo unashida ya 30k halafu unasumbua watu wakati simu ni suluhisho na unajitegemea.Wabongo hatubebeki
Walisema wanajua ni lipo na wamenipa masaa machache kabla ya saa kumi jion niwatumie... sasa lyf la chuo elf 40 ya haraka unaipata wap...? Nikaona isiwe kesi nikatupa line ila lile biti lilifanya nikazngua kwenye paperalikuambia wamekuchukulia RB nini.
Vipi una mpango wa kuwalipa.Aisee Mimi walkua wananidai Kama 150k , vitisho kama vyote
Pole sana kijanaWalisema wanajua ni lipo na wamenipa masaa machache kabla ya saa kumi jion niwatumie... sasa lyf la chuo elf 40 ya haraka unaipata wap...? Nikaona isiwe kesi nikatupa line ila lile biti lilifanya nikazngua kwenye paper
Imekaa poa wanakuvusha tuTigo nivushe imekaaje wadau?
Na branch ni wa wapi ? Nasikia wana mkwala ni balaa, jamaa yangu kaja kunikopa ili akawalipe nikamwambia achana nao, kwa sababu hela aliyorejesha imezidi mkopo aliochukua
dawa ya deni kulipa mkuu...Afadhali walikuwa wananidai pesa ndefu sana had I laini nikaiweka kapuni
Ndiyo! Ndiyo! Wana kasi ya SGR kutoa mikopoHeloo wajumbe eti hawa wamerudi ??
Acha mzaha
Vigezo?
Utaratib wao upoje