Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,960
- 63,964
Agiza online mkuuHuku nilipo haipo hiyo simu.
Agiza online mkuuHuku nilipo haipo hiyo simu.
Redmi 9sUnatumia simu gani mkuu.
Gharama pamoja na shipping najikuta inafika bei za hukuAgiza online mkuu
Ahsante mkuu Ila upande wa camera hiyo simu kama haiko QualityKidogo juzi kati niingie Kwenye Jeneza la iOS nikashtuka.Nipo na Samsung A21s yangu hapa si mchezooo.Naifanya nitakavyo,battery bombaaaa Haina mpango wa kuisha muda wote data on
Huku kuipata ni mtihani
Agiza alibaba mkuu. Mimi mwezi wa saba naagiza hiyo chumaHuku kuipata ni mtihani
Naomba kujua utofauti wa Qualcomm na MTK na kwanini huziamini MTK?Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Oppo A93Ahsante Nipe simu Kali hapo
Alibaba inanishinda kuangiza sababu inataka mpaka use na agent wa kuleta mzigo.Agiza alibaba mkuu. Mimi mwezi wa saba naagiza hiyo chuma
Naona una mbwembwe sana kwana SAMSUNG S21 ULTRA ujaiona au nayo ni ya zaman??Nahitaji latest ingependeza kama ungenitajia model.
Ahsante Nadhan Oppo wako vizuri hapo ni Mtk.Oppo A93
Mkuu huo mzigo wa milioni wa KAZI gani? Mimi bajeti yangu ni laki 5.Naona una mbwembwe sana kwana SAMSUNG S21 ULTRA ujaiona au nayo ni ya zaman??
Ahsante mkuu, wamefika wawili mnaniambia hii simu.tafuta oppo Reno 5 pro kama utaielewa
Reno 5 ni Simu dhaifu Sana japo zinafanyiwa promo hapa kwetu, ni Simu cheap!! Lakini kwetu zinauzwa gharama Sana.tafuta oppo Reno 5 pro kama utaielewa
Usiseme ni simu cheap wakat kila platform mpka EBAY zinauzwa mkasi sasa cjui hyo cheap uliiona wap mwenzetu.Reno 5 ni Simu dhaifu Sana japo zinafanyiwa promo hapa kwetu, ni Simu cheap!! Lakini kwetu zinauzwa gharama Sana.
Reno 5 ni Simu dhaifu Sana japo zinafanyiwa promo hapa kwetu, ni Simu cheap!! Lakini kwetu zinauzwa gharama Sana.