Bye bye ios

Hizo ni resolution ama idadi ya pixel kwenye display/video

Simu yako wewe kioo chake ni 1080p hivyo video yoyote ya 1440p (2k), 4k ama 8k kwako haina maana.

Kifupi kwa simu hizo 4k na 8k hazina maana sana kwenye kuplay ila kwenye TV, monitor kubwa, cinema na maeneo mengine ambayo display ni kubwa zina maana, hivyo mtu anaweza kutumia simu yake kurecord video Kisha kuplay kwenye TV yake ama computer.
Mkuu performance ya Poco M3 ipoje. Nataka kuinunua, now natumia redmi note 6 pro ambayo kwa matumizi yangu imenifaa kasoro kipengele cha betri tu.
 
Mkuu performance ya Poco M3 ipoje. Nataka kuinunua, now natumia redmi note 6 pro ambayo kwa matumizi yangu imenifaa kasoro kipengele cha betri tu.
Poco M3 jina jengine ni Xiaomi redmi 9T ambayo inapatikana kwa around 310,000 mpaka 350,000.

Kutokea Redmi note 6 pro Uta upgrade kila idara, SD 662 kwenye M3 ipo faster zaidi, na pia ni efficient haili sana charge.

Utapata storage zenye speed za ufs na battery kubwa la 6000mah.

Suala Zima la ukaaji chaji M3 itakaa na chaji kama Mara 2 ya note 6 pro.
 
Poco M3 jina jengine ni Xiaomi redmi 9T ambayo inapatikana kwa around 310,000 mpaka 350,000.

Kutokea Redmi note 6 pro Uta upgrade kila idara, SD 662 kwenye M3 ipo faster zaidi, na pia ni efficient haili sana charge.

Utapata storage zenye speed za ufs na battery kubwa la 6000mah.

Suala Zima la ukaaji chaji M3 itakaa na chaji kama Mara 2 ya note 6 pro.
Shukrani sana mkuu. Ngoja niagize. Hii redmi 9T ni simu tofauti au ni hiyo hiyo Poco M3 (simu moja majina mawili?)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom