Bye bye- i love you all-mwaaa!

Bye bye- i love you all-mwaaa!

charndams

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
436
Reaction score
128
Sitaki kuamini kwamba kila jambo na wakati wake ila kuanzia LEO itabidi nisaliti amri japo kwa majonzi makuu. Siku kama tano hivi nimekua nanyi humu ndani kwa furaha isiyoelezeka na wakati pia umefika kuwaacha kwa huzuni. Ni huzuni yenye furaha kwani kuwa nanyi kumenifunza na kunielimisha mengi. Kuwa nanyi umekuwa muda mfupi wa burudani. Ninaondoka jamvini ila kabla sijaondoka ninaomba kama kuna yeyote niliyemkwanza aniwie radhi kwani vikombe kwenye sinia havikosi kugongana. Ninawapenda wote na kwa namna ya kipekee natoa shukrani zangu kwa wafuatayo: dume la mende “ mzee wa tigo”, Lizz, Mentor, The boss, Aisha adam,mzee wa kijiji,gambalanyoka,kisasangwe,igwe sr,manyanza,yatima,sangara,dena amsi,mrembo,nyani ngabu,mchillo,shantel,muinjilisti,Russian roulette,afrodenzi,mwanajamiionline,ballerina,sokomoko,nyenyenkuru,mito, miss parliament,sabry001 na wengine wote mlioshirikiana katika kuchangia hoja mbalimbali. MUNGU AWABARIKI SANA TUTAKUTANA TENA INSHALLA.
 
waenda peponi nini
ama ndio ushachukua nyota zetu unashangilia ushindi
yarabi z.....likujualo alikulki likakw........
am kidding bra kila la kheri natumaini utakuwa kijijini pasipo na mtandao else ukiingiamjini si mbaya kuwakumbuka maahabuba
 
tutakumiss mbaya ila isije ikawa mambo ya kujitolea mwana hilo sitaki maana nilienda kijiji fulan yaanii wameja walimu wa kujitolea mlo mara moja ukifika mgeni wanakuona kama rais mtarajiwa kila la kheri ndugu yangu nami nikumbuke kwenye kaufalme chako.....kisiwe peponi mmhh uko bado
 
tutakumiss mbaya ila isije ikawa mambo ya kujitolea mwana hilo sitaki maana nilienda kijiji fulan yaanii wameja walimu wa kujitolea mlo mara moja ukifika mgeni wanakuona kama rais mtarajiwa kila la kheri ndugu yangu nami nikumbuke kwenye kaufalme chako.....kisiwe peponi mmhh uko bado
hahahaha!!!! soon and very soon
 
Unaenda wapi jamani??
Usikimbie mapema basi hivyo..
Ngoja tule lunch naomba..
 
waelekea wapi mkuu...wasalimie sana ukifika na wafikishie salamu zetu.
 
Mbona watupa Hofu jama, waendapi huko ambako hakuna hata Interneti!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Waenda wapi wewe ndugu, sema nasi tukupe salamu za wapendwa wetu ati.
 
Mh...Mdau, yani baada ya sisi kukupa ushauri umeamua kutukimbia siyoeee...
Ndo chawapi basi?
 
Mh...Mdau, yani baada ya sisi kukupa ushauri umeamua kutukimbia siyoeee...
Ndo chawapi basi?
paper babu...paper yanisubiri ughaibuni..duh!! sijui itakuwa vp. usijali august 20th nipo nanyi tena ndani ya nyumba.
 
Mbona watupa Hofu jama, waendapi huko ambako hakuna hata Interneti!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ni huko huko ndo naenda..internet ipo tena wala wala ila ni LOCAL (LAN)
 
Unaenda wapi jamani??
Usikimbie mapema basi hivyo..
Ngoja tule lunch naomba..
asante mpendwa. nihifadhie share yangu manake saa hii hakina raha.
naona kila kitu chungu kwangu..
mh!!! mi mtoto wa kiume nitajikaza, nitavumilia
 
Back
Top Bottom