Byabato pole sana aisee !!

Byabato pole sana aisee !!

Lakini kuna mtu alikuwa bkb anadai kabadilisha mji kwa projects kibao
Yes. Bukoba imechange sana kwa kipindi hiki.

Soko havipo tena, stendi ya matope haipo tena, na Barabara zinajengwa na bandari imepanuliwa.

Huyu kafanyiwa figisu tu
 
Byabato aliingizwa kwny siasa Kimkakati.

Byabato ndo kaconfirm kipara apotezewe na maza, aliwekwa nae wizara Moja Kimkakati ili kumspy.

Kipara na MOses walimuingiza kwny cycle Yao na kumuamini 100%, Kisha kawakaanga
Kwa hiyo kwa hiyo kwa hiyo!
 
Back
Top Bottom