Byabato pole sana aisee !!

Byabato pole sana aisee !!

Tatizo nashangaa kutwa tunawajadili hawa watu wanaopiga mil 18 kila mwezi na posho sizizo na ukomo!!
Ni muda sasa na sisi tuaze kujadili matatizo yetu sisi pangu pakavu .!
Hakuna anaewaonea huruma km kula hela wapo watakaokula mpaka wakiwa kaburini walee waliowekwa peke yao peke yao yaan watazitafuna mpaka wakiwa wamefukiwa CHINI
ti
nashangaa
 
Byabato aliingizwa kwny siasa Kimkakati.

Byabato ndo kaconfirm kipara apotezewe na maza, aliwekwa nae wizara Moja Kimkakati ili kumspy.

Kipara na MOses walimuingiza kwny cycle Yao na kumuamini 100%, Kisha kawakaanga
Kipara kuna jingine,asisingiziwe Byabato.
 
Bukoba huwa mbunge wanampenda mwanzo tu baada ya hapo hawamtaki hata alete maendeleo. Nilikuwa nawauliza kinachowafanya wamchukie wanadaie eti anaringa.
Wanataka mtu kama rwakatale aje tu akae nao anywe kahawa
Byabato hajawahi kuwa chaguo la wana Bukoba. Kwenye kura za maoni 2020 alishika nafasi ya tano lakini chama kikampitisha kwa lazima kwenye uchaguzi mkuu alishindwa na Chief Karumna lakini akatangazw kuwa mbunge na mwaka huu asingeshinda ndani ya chama wala kwenye uchaguzi mkuu ulio huru,haki na wazi.
 
Byabato hajapoteza,

Anarudishwa makao makuu TISS kutumikia majukumu yake mengine
(probably idara ya ulinzi WA Raisi)

Maana Kabla ya kua uwakili, alikua kikosi Cha ulinzi WA makamu wa raisi (pindi maza hajawa Raisi),

Kisha akahamishiwa idara ya siasa, mambo ya nje kule TISS.

Kisha ndo akaenda kua wakili WA serikali kule bukoba
Uongo ,baada ya kutoka chuo kaajiliwa bukoba DC kama maana sheria ,hiyo makamu alimulida akiwa wapi ila sema noiafisaa kipenyo basi
 
Byabato hajawahi kuwa chaguo la wana Bukoba. Kwenye kura za maoni 2020 alishika nafasi ya tano lakini chama kikampitisha kwa lazima kwenye uchaguzi mkuu alishindwa na Chief Karumna lakini akatangazw kuwa mbunge na mwaka huu asingeshinda ndani ya chama wala kwenye uchaguzi mkuu ulio huru,haki na wazi.
Sio kweli mkuu. Byabato ni home boy na jiran yangu na mwanakijini mwenzangu pale kamachumu. Hakuwahi kuwa TISS nachokumbuka alianza kwa adhocate rweyemamu kabla ya kuanza kufanya kazi huko sijui halmashauri sijui wapi but serikalini.
Hajawahi kuwa TISS wala mlinzi wa rais
 
Byabato hajawahi kuwa chaguo la wana Bukoba. Kwenye kura za maoni 2020 alishika nafasi ya tano lakini chama kikampitisha kwa lazima kwenye uchaguzi mkuu alishindwa na Chief Karumna lakini akatangazw kuwa mbunge na mwaka huu asingeshinda ndani ya chama wala kwenye uchaguzi mkuu ulio huru,haki na wazi.
Kwanini anachukiwa sana mkuu
 
Kwanini anachukiwa sana mkuu
Kusema anachukiwa nadhani sababu ni kwamba wakati anaingia 2020 alikuwa mwasiasa mchanga ambaye hakujulikana kabisa kwa watu kabisa. Yalikuwepo majina ya watu waliopendwa na wananchi na ndio maana kwenye kura za maoni alikuwa mshindi wa tano ila chama kikalazimisha ateuliwe kwa sababu walizozijua vizuri zaidi wao. Hiyo nadhani ilitengeneza vinyongo vya ndani miongoni mwa waliodhani walipaswa kuteuliwa wao kutokana na matokeo ya kura za maoni. Hivyo sumu ilisambazwa chini chini mpaka ikawafikia watu wa chini, hata hivyo kwa umri wake bado ana nafasi ya kujijenga huko mbeleni.
 
Sio kweli mkuu. Byabato ni home boy na jiran yangu na mwanakijini mwenzangu pale kamachumu. Hakuwahi kuwa TISS nachokumbuka alianza kwa adhocate rweyemamu kabla ya kuanza kufanya kazi huko sijui halmashauri sijui wapi but serikalini.
Hajawahi kuwa TISS wala mlinzi wa rais
Siku hizi kila mtu ni TISS akishaonekana anavaa suti tu mimi sikuwa na utaratibu wa kuvaa jeans ila ilibidi nibadilike baada ya kuingia mtaani maana watu walionekana kunitilia mashaka🤣🤣🤣
 
Byabato aliingizwa kwny siasa Kimkakati.

Byabato ndo kaconfirm kipara apotezewe na maza, aliwekwa nae wizara Moja Kimkakati ili kumspy.

Kipara na MOses walimuingiza kwny cycle Yao na kumuamini 100%, Kisha kawakaanga
Una jambo. Usikilizwe.
 
Back
Top Bottom