PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,996
- 2,017
Saa nyingine unakaa na kuona umeshakuwa mkubwa sasa na kujiona una busara (@least we lie to ourselves to make us feel better),
unawaangalia wadogo zako na kuwashauri especially kuhusu kubaki njia kuu (...by all means bakini njia kuu kwa kweli).
Ulifuata ushauri mzuri wa wakuu, wazazi na pia kutumia busara zako kupata mwenzi bora. Na ukweli wa Mungu ni kwamba mwezi wako ni "one of the best there is"(Glory to God). Ana asilimia kubwa ya sifa nzuri na mnaendana, na hungetamani kuwa pengine.
Lakini sasa bado asilimia kubwa ya watu wa kwenye hizi couple wanachepuka...(Let me remind you that, its not always because you are not loved when your spouse cheats. Most are just desires of moments!). Sasa unakaa unavuta kumbukumbu ya "experiences" ulizopata katika kuwa na watu tofauti tofauti.
Ushauri wangu ni mbaki njia kuu tu michepukoni si UKIMWI tu ndio unapatikana, Vingine ni vivid sret tu ze mein wei!
unawaangalia wadogo zako na kuwashauri especially kuhusu kubaki njia kuu (...by all means bakini njia kuu kwa kweli).
Ulifuata ushauri mzuri wa wakuu, wazazi na pia kutumia busara zako kupata mwenzi bora. Na ukweli wa Mungu ni kwamba mwezi wako ni "one of the best there is"(Glory to God). Ana asilimia kubwa ya sifa nzuri na mnaendana, na hungetamani kuwa pengine.
Lakini sasa bado asilimia kubwa ya watu wa kwenye hizi couple wanachepuka...(Let me remind you that, its not always because you are not loved when your spouse cheats. Most are just desires of moments!). Sasa unakaa unavuta kumbukumbu ya "experiences" ulizopata katika kuwa na watu tofauti tofauti.
- Wengine kiukweli ilikuwa tu mapito na uko radhi yalipita.
- Wengine walikuchekesha...(Kama there was this time nilikuwa na mdada wa kabila fulani, ile tunaanza tu nikasikia ,"yethuu na maria", dah nilijikuta nacheka mpaka nikasahau tunafanya nini) . Mwingine unamfunua sketi anakuangalia seriously anasema "ntakupigaa", sasa unajiuliza kwani tumekuja hapa kupigana?
- Kundi jingine sasa ndio hasa asilimia yenye impact katika uzoefu wako. Kuna hawa watu ni wazuri sana kitandani mpaka siku ya kwanza tu ukatamani muendelee nao milele (Jamani kuna watu ni noma kitandani usiambiwe. There is a lady hadi kesho naomba tusikutane manake akitaka sijui itakuwaje?), sema tu ndio tukirudi mwanzo wa mada kumpata mwenzi bora ni zaidi ya kigezo kimoja.... Na kama ndio ulitoka njia kuu ukakutana na huyu mtu! hatari kabisa kwa mchepuko kujibinafsishia trafiki ya njia kuu as if njia kuu ipo kwenye matengenezo!
Ushauri wangu ni mbaki njia kuu tu michepukoni si UKIMWI tu ndio unapatikana, Vingine ni vivid sret tu ze mein wei!