Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,143
- 56,602
Jana nilimsikia Rais Magufuli akisema ndani ya miaka yake mitano ijayo endapo atashinda basi Tanzania kuwa kama Ulaya by 2025.
Hivi Watanzania turudi nyuma kidogo. JK alituambia Kigoma itakuwa kama Dubai by 2015, leo tupo 2020, je Kigoma imeshakuwa kama Dubai?
Watanzania wenzangu tusidanganyike na maneno ya Rais Magufuli. Kusema ukweli Tanzania kuwa kama Germany by 2025 hilo haliwezekani kabisa. Miaka mitano SGR Dar es Salaam mpaka Dodoma bado inawasumbua wataweza kujenga SGR Dodoma Mwanza/Kigoma ndani ya miaka mitano mingine?
Tusidanganyike. Halafu wanatuona hatuna akili kwa kutuahidi mambo matamu ambayo wanajua kabisa hawawezi timiza.
Hivi Watanzania turudi nyuma kidogo. JK alituambia Kigoma itakuwa kama Dubai by 2015, leo tupo 2020, je Kigoma imeshakuwa kama Dubai?
Watanzania wenzangu tusidanganyike na maneno ya Rais Magufuli. Kusema ukweli Tanzania kuwa kama Germany by 2025 hilo haliwezekani kabisa. Miaka mitano SGR Dar es Salaam mpaka Dodoma bado inawasumbua wataweza kujenga SGR Dodoma Mwanza/Kigoma ndani ya miaka mitano mingine?
Tusidanganyike. Halafu wanatuona hatuna akili kwa kutuahidi mambo matamu ambayo wanajua kabisa hawawezi timiza.