Bwana yesu asifiwe wapendwa

jonas amos

JF-Expert Member
Jul 4, 2016
3,615
4,389
*CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF. WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE: We vp unatatizo gani mbona unalia??? AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!*
 
*CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF. WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE: We vp unatatizo gani mbona unalia??? AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!*
Non n void
 
*CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF. WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE: We vp unatatizo gani mbona unalia??? AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!*
 
Padre uchwara?! Kumfanyia dhihaka na mzahaYesu unaona ni jambo dogo???
Ikiwa alidhihakiwa akiwa hai hai na wakamtundika kwenye mti na kusuluhiwa ni laaan kama maandiko ya bibilia inavyosema huyu wengine huko kwa wenye wameenda mbele zaidi kwa kudai kuwa kufanya ushoga wao wanamfuata yesu nikjmsikia msanii mmoja marekani akisema "am proud ti be gay as jesus himself was gay"
 
Naona Pengo kawafunga akili zote.
Kwahiyo nikitaja Yesu nikiwa Baa nakunywa Bia nitakufa ????
Washamba kweli nyie
Nyie ndiyo wasenge kabisa na huyo babuseya wenu(mohamed) eti mtume Mungu hawezi mtuma mtu mzinifu kiasi hicho?
 
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Ukileta ujuaji ntaweka hapa vikaragosi vya mwamedi Bila kuchelewa


Kwahiyo yesu ndio Bwana Mungu!!!!!
Unajua kuwa unaongea na mtu nilosoma Ukristo miaka 17 kabla sijaukimbia.
You know nothing about Theology
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom