kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,288
- 8,280
Kwenye kampeni suala la mchezo ulisema utaisimamia ilani CCM kuhusu mambo ya viwanja vya wazi visiporwe, maeneo ya kucheza watoto na kadhalika!
Ajabu sasa umesikika mjengoni unaongelea mambo ya TFF na jinsi inavyo deal mizozo ya 'mitimu' ya wilaya nyingine ya Ilala. Linapokuja suala la mchezo ni vema ukichangia siku nyingine zingatia matatizo yetu sisi wana Kinondoni.
Hii mitimu ya Simba na Yanga tuwaache wapambane na hali zao na TFF yao! Usiingize mahaba juu ya hii 'mitimu'. Kinondoni iwe ndo kipaumbele chako! Kwa roho safi naomba upokee ushauri huu.
Ajabu sasa umesikika mjengoni unaongelea mambo ya TFF na jinsi inavyo deal mizozo ya 'mitimu' ya wilaya nyingine ya Ilala. Linapokuja suala la mchezo ni vema ukichangia siku nyingine zingatia matatizo yetu sisi wana Kinondoni.
Hii mitimu ya Simba na Yanga tuwaache wapambane na hali zao na TFF yao! Usiingize mahaba juu ya hii 'mitimu'. Kinondoni iwe ndo kipaumbele chako! Kwa roho safi naomba upokee ushauri huu.