Bwana harusi hajaanza vikao, bibi harusi kaanza vikao

Bwana harusi hajaanza vikao, bibi harusi kaanza vikao

kwa mwanamke hakuna tatizo hapo..! kichenparty atafanyiwa na shangazi na mama zake ...sendoff itafanywa na baba kaka na wajomba ndoa kimya kimya ila mkaka anajistukia kupeleka ndugu zake kwa sendoff kula ubwabwa then kwao kimya kimya
 
Hiyo si upande wake? Aendelee tu na vikao. Ila asilazimishe upande wa pili!!
 
Hata mie hapa sijaona tatizo.. Kitchen party na sendoff zinamuhusu yeye bi harusi na nduguze.. Jamaa asubiri yeye siku ya ndoa waende church wakafungishwe ndoa na kurudi home.. Sidhani kama ni tatizo.. Huyo bwana harusi aache kumbwelambwela mapema hivi lol..

Labda bwana arusi anaona aibu kuonekana mkewe amemzidi pesa(kama kweli hana)
 
Bwana harusi naye angejitahidi walau afanye kasherehe kadogo tu,sio lazima lisherehe likubwa.
 
Back
Top Bottom