Bwana harusi amuua baba yake kwa risasi


Hapo kwenye RED, hivi SMG na shortgun ni kitu kile kile? Kwa sheria za kumiliki silaha za Tanzania, zinaruhusu kweli mtu binafsi kumiliki SMG?

Naomba ufafanuzi hapa!!!!.

Tiba
 
Pombe si chai. Hakawii kuwa alilala nazo.
Salamu kwa wanaolewa hadi wanapotea milango lmao
 
Ila na bwana harusi nae analala na smg chini ya mto au? Manake kusikia kelele tu za mkewe akashoot? Ina maana na baba hakutoa sauti yoyote wakamtambua? Nna maswali milioni!
 
..Baada ya harusi msiba...furaha Vs huzuni...hakika wote tutaonja mauti katika hali tofauti tofauti (kwa ugonjwa, kwa panga, kwa ajali, kwa sumu, kwa......)

bwana ametoa bwana ametwaa

rip mpigwa risasi
 

Apokonywe hiyo silaha huyo punguwani...huwezi kukurupuka na kuanza kupiga risasi ovyo ovyo tu

Kuna haja ya Polisi wenyewe kuwapima akili hawa wamiliki wa silaha na sio kwenda kuleta cheti cha Daktari

Neno bahati mbaya kwenye matumizi ya silaha za moto ni UPUMBAVU
 
Hapo kwenye RED, hivi SMG na shortgun ni kitu kile kile? Kwa sheria za kumiliki silaha za Tanzania, zinaruhusu kweli mtu binafsi kumiliki SMG?

Naomba ufafanuzi hapa!!!!.

Tiba

Muite Dingswayo anajua vizuri. mi nadhani SMG stands for saab machine gun, bunduki inayoweza kutema mfululizo.
Ni kama corolla ni toyota lakini toyota sio lazima iwe corolla
 
Last edited by a moderator:
shirima na kavishe ni koo mbili tofauti wote wamefanya matukio tofauti au ni tukio hilo hilo kwani kuna threads 2 tofauti lakini maudhui ni haya haya.

wafiwa poleni sana.
 
Muite Dingswayo anajua vizuri. mi nadhani SMG stands for saab machine gun, bunduki inayoweza kutema mfululizo.
Ni kama corolla ni toyota lakini toyota sio lazima iwe corolla
Ni sawa kabisa. SMG ni submachine gun, na shotgun ni bunduki ambayo risasi ndani yake mna gololi.
 
Ina maana hao maharusi wapya hawakufunga mlango wa chumba chao?
 

Hii ndiyo risasi ya shotgun ambayo ndani mwake kuna hizi shots nyingi ambazo baada ya kulipuka ndio zinazotoka kwenye mtutu.
 
hapana bwana wewe utamiminaje shaba ovyo bila kuangalia kitu unachokipiga au ndo usingizi

si unajua tena: my sweetie, my asali, my hanee zikizidi zinazidisha sukari mwilini mpaka unasahau kufunga mlango, hupunguza pia uwezo wa kuona kwa macho. si unaona hata mleta mada alianza na SMG akamalizia na shortgun, nahisi ilikuwa bastola.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…