Bwana harusi aingia Mitini, Ndoa yabuma

Uhalali kutokana kwa vigezo vipi? Miaka 16 hata Shile ahamaliza wewe unasema halal. Aiseee
 
Hakuna kitu kama hicho sheria ya ndoa ya mwaka 71 inaruhusu bint wa miaka 15 kuolewa kwa ruhusa ya wazaz,istoshe miaka 16,hamna kesi hapo,labda kama wazazi hawakuridhia!
Kwahiyo hata kama mtoto hataki, laikini wazazi wanataka ndoa, sheria ya mwaka 71 inasuhuru kulazimisha ndoa!! Hivi wewe unafahamu maana ya ndoa au umekurupuka tu?
 

taarifa za kiintelejensia zimemuokoa bwana harusi
 
Mleta mada kama una no za bibi harusi tafadhali,mie sita muoa kuoa si kosa ntaishi nae tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…