Bwana ake kanitukana matusi

Bwana ake kanitukana matusi

Huyo kuna kijamaa kinamtoa kweny reli aache kuchukua ujuzi akapewa mimba ,baadae atakuja kusumbua hiyo age mabint wanasumbua sana .
Kama una nia nzuri kweli na huyo binti fuata ushauri huu hapa. Akijifanya kichwa ngumu asije kulaumu baadae
 
Huyo siyo mwanao muache asepe ila yakimkuta asirudishe milonjo yake kwako.
 
Huyo kuna kijamaa kinamtoa kweny reli aache kuchukua ujuzi akapewa mimba ,baadae atakuja kusumbua hiyo age mabint wanasumbua sana .
Amwache tu ila matusi hayavumiliki amtafute huyo bwege na kumpa kipondo cha haja. Na amkabidhi huyo binti akae nae mazima.
Vijana siku hizi sijui mmekuwaje.
Si enzi zetu unamnunulia mtu supu au mishkaki huku una jambo la kumweleza.
Anapigwa huku anakula,konzi,ngumi ,teke.
Akisimama anakalishwa tena chini.
Mpk tunapata muafaka.
Akitoka pale kavimba midamu inavuja watu wanashangaa hawa si walikua wanaongea tu.
Kumbe mtu alikuwa anapewa adabu kimya kimya.
 
Cha kufanya mwambie dada yake kutoa lawama, kisha mpe nauli yake aondoke, asije pata mimba mtaani kwako lawama ukapewa wewe.
 
Wewe huyo ni mwanamke mtu mzima kabisa sio binti tena…huyo anatakiwa awe ameolewa kwa hiyo mtafutie nauli aende kwao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom