Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,093
- 2,604
''Mbele ya mtumishi wa Mungu, bwana harusi bila woga ni pale tu alipoulizwa. 'una kitu gani kama ishara ya upendo wenu'? Basi akafungua zipu, akaanza kuitoa na kuingiza kwa mkewe/ Bi harusi naye bila woga akaing'ang'aniza hadi ikapita. Watu wote wakashangiria na kupiga makofi, kwani hawakuamini ilivyokuwa inapita ile pete ya ndoa!....... Mbona unashangaa ulidhani kitu gani?