Bw. Harusi na Bi. Harusi.

Bw. Harusi na Bi. Harusi.

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,093
Reaction score
2,604
''Mbele ya mtumishi wa Mungu, bwana harusi bila woga ni pale tu alipoulizwa. 'una kitu gani kama ishara ya upendo wenu'? Basi akafungua zipu, akaanza kuitoa na kuingiza kwa mkewe/ Bi harusi naye bila woga akaing'ang'aniza hadi ikapita. Watu wote wakashangiria na kupiga makofi, kwani hawakuamini ilivyokuwa inapita ile pete ya ndoa!....... Mbona unashangaa ulidhani kitu gani?
 
''Mbele ya mtumishi wa Mungu, bwana harusi bila woga ni pale tu alipoulizwa. 'una kitu gani kama ishara ya upendo wenu'? Basi akafungua zipu, akaanza kuitoa na kuingiza kwa mkewe/ Bi harusi naye bila woga akaing'ang'aniza hadi ikapita. Watu wote wakashangiria na kupiga makofi, kwani hawakuamini ilivyokuwa inapita ile pete ya ndoa!....... Mbona unashangaa ulidhani kitu gani?

Nashangaa ndiyo, wewe si umesema inatoka kwenye zip?
 
kumbe pete......sibu itoke wapi sasa?

  • :target:

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom