BVR Accessories zinaweza kufaa kwa matumizi gani mengine?

BVR Accessories zinaweza kufaa kwa matumizi gani mengine?

mmeiiba?? maana hapa nchini hakuna hata nchi iliziazima.
 
We ni mwizi! Au unapanga kuiba. Kwa vile serikali ipo inafuatilia vyote humu jiandae kujisaidia debeni
 
Iliibiwa moja huko magu labda ndio yenyewe.ilete tuikague kwanza
 
Hakuna kitu kibaya jf kama kukurupuka..

vinaweza kutumika hata kwa ajili ya vitambulisho vya utaifa..
 
BVR Accessories hizo ni kama GPS,Solar Panel,Printer, Wino wake,Cables etc.

Vinaweza kufaa kwa matumizi gan mengine nje ya Kit

ZIKIMALIZA ZOEZI LA VITAMBULISHO VYA KURA ZITAAMIA NIDA KWA AJILI YA VITAMBULISHO VYA URAIA ILE KITS IMEANDIKWA MATUMIZI KAMA 5 HIVI, ata kutengenezea lesen za magari au ata birth certificates ingawa komputer zake zinauwezo mdogo sijwahi ona.
 
Zinaweza pia kutumika kwa zoezi la kuandiikisha vitambulisho vya uraia.na matumizi mbalimbali ya IT
 
BVR ina accessories kama accessories zingine. Lakini Zina special ID na Specific usage.
Nje ya matumizi kusudiwa inaleta tabu kidogo. Kwamfano, solar accessories zake Zina voltage na Ampere design nje kabisa ya 12/24V.
Scanner yake Ina alama tofauti na scanner zingine nk
Hivyo accessories zote za BVR zimepitia uhakiki wa kiulinzi kabla ya kuingia kutengenezwa. Kama ikifa, ikiibiwa, mvua, vumbi, na hata copyright production.
Hivyo, ndugu hiyo kitu ni kujisumbua kubadili matumizi yake, bora kununua scan, camera, printer, laptop, antenna zako kuliko hili dude la watu.
Program zilizowekwa kutumika humo ndani ni matatizo mengine, zinatoa taarifa sehemu ambayo wewe hukutarajia. Mfano, inatoa taarifa ya solar panels, location, angle nk. Kwa savers za wenyewe.
GPS yake ni balaa tu. Haifai ndugu, inakuacha uko uchi hata shimoni.
Laptop Ina fingertips password facility.
Bios yake imechezewa kijanja Janja.
Camera pin ziko hovyo.
Sanduku Lake ni mzigo.
Ndugu, haya ni madude ya wenyewe, kwa matumizi ya wenyewe. Hayafai hata kuyaongelea, maana wenyewe wanakuona na kukusoma hadi sasa.
Nakutakia
Utafiti Mwema
 
Hoja hapo ilikua ni baada ya kulamliza zoezi zima la kitaifa, itatumika kwa matumiz gn mengne?

Thnx kwa majibu yote, nimeelewamo,, 😱😱😱
 
Back
Top Bottom