PostGE2025 Butiku: Tishio la kupigwa risasi liliwafanya watu kukaa ndani. watu milioni 5 mliambiwa mkae ndani na mlikaa

PostGE2025 Butiku: Tishio la kupigwa risasi liliwafanya watu kukaa ndani. watu milioni 5 mliambiwa mkae ndani na mlikaa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kuwa tishio la watu kupigwa risasi liliwafanya mamilioni ya wananchi kubaki majumbani. Alisema kuwa takribani watu milioni tano waliambiwa wabaki ndani na walitii agizo hilo.

Ameongeza kuwa vijana waliokabiliana na Jeshi la Polisi wanatoka katika familia zetu wenyewe, na kwamba sisi ndiyo walezi wa vijana hao. Ameyasema hayo tarehe 19 Januari 2026.
 
1.Tanzania hakukuwa na amani wala umoja kwa miaka mingi sana acheni kujazana ujinga.

2. Habari ya vijana na watoto kutoka ni ujinga, wale ni raia. Acheni kuwa box in kama vijana na watoto ili muwa paternalize na kuwa infantilize.

3. Watu kuamriwa kukaa ndani haihalalishi wengine kuuawa.

4. Amri ya watu kukaa ndani yenyewe imetolewa kihunihuni bila kufuata sheria.

5. Butiku anatetea watu kuuawa kwa sababu wametoka nje. Anasema anaamini katika utawala wa kijeshijeshi.
 
Nailaani michawa ya samuya,kwamba ikafe kifo kibaya sana , familia zao na mali zao zita piga moto 🔥 nayo itakufa masikini
 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kuwa tishio la watu kupigwa risasi liliwafanya mamilioni ya wananchi kubaki majumbani. Alisema kuwa takribani watu milioni tano waliambiwa wabaki ndani na walitii agizo hilo.

Ameongeza kuwa vijana waliokabiliana na Jeshi la Polisi wanatoka katika familia zetu wenyewe, na kwamba sisi ndiyo walezi wa vijana hao. Ameyasema hayo tarehe 19 Januari 2026.
Shame on this man! Umri wa miaka 80+ ni umri wa kujiweka karibu zaidi na Mungu. Kwa maneno mengine, umri wa miaka 80+ sio umri wa kucheza kwenye viwanja vya Ibilisi.
 
Back
Top Bottom