MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
kama kweli ccm ni mbaya na inakufa warudishe kadi wazee hao wakipata posho hawakosekani vikao vya ccm pia tuliona Sura zao siku jk alipozungumza na wazee wa dar es salaam wakiwa miongoni mwa wazee wakitikisa vichwa kuonyesha kuguswa na hotuba ya jk unafiki mkubwa huu.