Hebu weka wazi mambo maana umekuja kisanii zaidi...Tumewasikia wakitapatapa, hawajui wakati ukuta, wamebanwa mbavu, wanahemea tumboni, wanajaribu kujenga mustakabali ya tz ya 1967, hawajui nini wamekosea, wamo ndani ya chumba cha giza hawajui switch ukowapi,
Kweli majuto mjuukuu.
salaam
wakuu.
Kitine Akiwa mkuu wa mkoa wa Tanga alitumia madaraka yake vibaya kwa
kuandaa nyaraka feki ili mke wake asafirishwe kwenda Canada na alipiwe
gharama za matibabu na serikali ya Tanzania.
taarifa za wadadisi wa mambo zinasema kuwa Alifukuzwa Ukurugenzi Mkuu
wa usalama wa taifa (UWT) baada ya miaka miwili tu, na kwamba ni yeye
pekee aliekaa madakarakani ktk nafasi hiyo kwa kipindi kifupi sana
kuliko wakurugenzi wote waliowahi kushika nafasi hiyo nyeti hapa
nchini.chanzo cha kufukuzwa inaelezwa ni Ufisadi na alitaka kulisaliti
Taifa kwa maadui. KITINE ni mwizi wa mali za watanzania na ni mtu
mwenye gubu katika roho yake.
My take:Je ni kweli huyu jamaa ana ujasiri wa kutosha kujitpokeza na
kuwaambia watanzania kuwa chama cha magamba kinakufa kufa? ni mzalendo
wa kweli?
hawa wamewahi kuwa viongozi hawajawahi kusema wameifanyia nini Tanzania ili tuwapime enzi zao lakini pia walipokuwa na madaraka hatukusikia wakijikosoa wao au awamu walizotumikia au hazikuwa na mapungufu?
inauma inaonekana umemwona huyu mzee akiwakosoa sasa umeamua kumpa za uso'je unafikiri itasaidia?
mwalimu alimfukuza kitine TISS kwa kashifa za ufisadi ikiwemo kununua gari 2 binafsi za kifahari enzi hizo baada ya kuiba fedha za umma. mwalimu alitaka kumfunga jela isanga mbeya kama isiingekuwa busara za kawawa ndipo nyerere akasema hataki kumuona hapa nchini kawawa akaomba apelekwe ubalozini akapelekwa canada ambako pia akaiba fisadi mkongwe hana sehemu ya kuiba amebanwa
inasemekana kuwa Kitine sio riziki ie anakameruniwa.