Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kitine akiwa mkuu wa kambi ya jeshi huko monduli aliliibia jeshi sana na alipoondoka kwa kuhamishwa wanajeshi walifurahi saaaaaaaana.
Yaani badala ya kujadili message tumegeuka kujadili messengers. Kweli tafuta wa kundi lako.I can see the great thinkers!!!! Ngoja nitafute wa kundi langu.