Butiku awataja maadui wa serikali tatu...

Butiku awataja maadui wa serikali tatu...

Kumbe butiku naye mburula kiasi hiki hapa malimu sefu na lowasa wanaingiaje atwambie namna Lowasa na Maalimu sefu wanavyoweka watu wao kusimamia serikali mbili.

Butiku hana hoja aache jazba wakati wao umekwisha sasa ni zamu ya bunge la katiba.

watu kama butiku yafaa watiwe bakora hakuna hoja anayojenga zaidi ya kutuhumu watu hovyo bila sababu za msingi.

Hii tume kumbe ilikuwa na watu waajabu sana kama hoja zenyewe ndiyo hizi.
wewe ndio mbulula mbwa we wacha kutukana watu wakubwa shnz taupu Interahamwe@work
 
wewe ndio mbulula mbwa we wacha kutukana watu wakubwa shnz taupu Interahamwe@work

Si ndio hawa wanajifanya eti nyerere katukanwa ni kumkosea adamu,ccm bwana yaani huwa nawaona kama ni watu wasio kiwa na vichwa,,sasa huyu pimbi mjepo anamtukana butiku wakati ni sawa na babu yake mzaa babaake,,kweli nimnye mbele za watu kuliko kuwa mwanaschama wa ccm
 
ccm ni sawa na doctor aliyefanyia operation kichwa badala ya mguu!
 
Labda ni misunderstanding.
Mzee Butiku yeye binafsi ana msimamo gani kuhusu muundo wa serikali ya muungano? Maoni ya wananchi siyo lazima yawe maoni ya wanatume kwa binafsi yao.
Nadhani ndiyo alichomaanisha, kwa sababu aliulizwa kama yeye anataka serikali tatu.
Vilevile siyo kama Warioba anataka serikali tatu, ila kwa maoni yake ni kuwa wananchi wanataka serikali 3.

Mimi ningependa kuwe na refferrendum kwanza, na kama muungano utatakiwa na pande zote basi tuwe na serikali moja. Zanzibar nayo ife.

"Not to decide is to decide" kutotoa maoni, ni uamuzi na una uzito wake sawa na kutoa maoni. Kwa hiyo kama asilimia themanini ya waliotoa maoni hawakuzungumzia kabisa muungano, hii inamaanisha hawajali muungano utakuwa wa aina gani.
Bunge la katiba linaweza likachukulia hiyo kama ni mandate ya kuamua mfumo wa muungano. Na baadae kuuleta kwa wananchi ambao, chini ya tume huru ya uchaguzi wataamua kukubali au kukataa.

Halafu tuache unafiki, jeshi kutwaa madaraka ni mfano uliotolewa kama mojawapo ya kutokuwa na serikali inayoweza kukusanya mapato, au kuwa na vyanzo vya mapato. Ila nashangaa watanzania tumeutwist ujumbe huo.
 
Ccm ilibaka mchakato wa katiba ndio maana inakuwa ngumu kukubali matakwa ya watanzania.
 
Pathetically poor reporting! Amweke vp Maalim Seif Kwenye chungu kimoja na Lowassa ilihali Jussa anazungumza alichotumwa na Maalim Seif? Please revisit your notes wacha kumwekea mzee wa watu maneno mdomoni sasiyokuwa na logic



 
Back
Top Bottom