Macho yangu au? Eti mjepo unasemaje???Kumbe butiku naye mburula kiasi hiki hapa malimu sefu na lowasa wanaingiaje atwambie namna Lowasa na Maalimu sefu wanavyoweka watu wao kusimamia serikali mbili.
Butiku hana hoja aache jazba wakati wao umekwisha sasa ni zamu ya bunge la katiba.
watu kama butiku yafaa watiwe bakora hakuna hoja anayojenga zaidi ya kutuhumu watu hovyo bila sababu za msingi.
Hii tume kumbe ilikuwa na watu waajabu sana kama hoja zenyewe ndiyo hizi.
ajabu sana,ndo maana nasemaga huyu butiku hanaga point,anatumia jina la kigoda cha nyerere kujinufaisha wakati hana hata nia ya kumuenzi nyerere.
Kama Butiku amekushangaza kiasi hicho vipi hao waimba taarab waliosali bungeni?Kumbe butiku naye mburula kiasi hiki hapa malimu sefu na lowasa wanaingiaje atwambie namna Lowasa na Maalimu sefu wanavyoweka watu wao kusimamia serikali mbili.
Butiku hana hoja aache jazba wakati wao umekwisha sasa ni zamu ya bunge la katiba.
watu kama butiku yafaa watiwe bakora hakuna hoja anayojenga zaidi ya kutuhumu watu hovyo bila sababu za msingi.
Hii tume kumbe ilikuwa na watu waajabu sana kama hoja zenyewe ndiyo hizi.
kwa busara angenyamaza... ila atetee maoni ya serikali tatu na namna itakavyimnufaisha layman na maskini kama mimi.... masuala ya kutajana hatabaki mtu
kingukitano na mjepo Butiku ni CCM kuliko nyie..Heshima aliyonayo ndani ya CCM hamuwezi kuipata..Labda kama mnachekesha jukwaa..
Acheni kashfa..Jadilini hoja..
Mirisho nakuunga mkono wazee wameshachoka hawa said:Mkuu Kingukitano... with all the due respect... siungi mkono hoja ya kunyamazia uovu.... lakini i see it too prematurely and i guess it will deviet the discussion at hand to something else....kutajana itavuruga mjadala.. lakini kunyamazia mabavu yanayofanywa na CCM kwa kisingizio cha wingi wao bungeni haitakubalika. kingukitano
gukitano
kingukitano
Rais anataka serikali mbili lakini lawama anatupiwa Lowassa!!
HOJA aliyoytoa ni ya kiwendawazimu,Mh Rais alieleza hatari ya nchi kuwa na mundo wa serikali tatu alitumwa na Lowwasa?
Juzi MH Bernard Membe alichambua kiundani madhara ya serikali 3 alitumwa na Lowwwasa?
Akina Makonda mahasimu wa Lowwasa pia amewatuma kutetea serikali mbili?
Acheni ujinga kila kitu Lowassa,
Hata mke wake akizidisha chumvi kwa mboga ataseama Lowwasa .
Tumechoka na huu uhuni
Kumbe butiku naye mburula kiasi hiki hapa malimu sefu na lowasa wanaingiaje atwambie namna Lowasa na Maalimu sefu wanavyoweka watu wao kusimamia serikali mbili.
Butiku hana hoja aache jazba wakati wao umekwisha sasa ni zamu ya bunge la katiba.
watu kama butiku yafaa watiwe bakora hakuna hoja anayojenga zaidi ya kutuhumu watu hovyo bila sababu za msingi.
Hii tume kumbe ilikuwa na watu waajabu sana kama hoja zenyewe ndiyo hizi.
Mkuu Kingukitano... with all the due respect... siungi mkono hoja ya kunyamazia uovu.... lakini i see it too prematurely and i guess it will deviet the discussion at hand to something else....kutajana itavuruga mjadala.. lakini kunyamazia mabavu yanayofanywa na CCM kwa kisingizio cha wingi wao bungeni haitakubalika. kingukitano
gukitano
kingukitano
Huko tunakokwenda tutashuhudia makubwa,Acha nitayarishe popcorn zangu maana naona kama movie ndiyo imeanza vile!!!!??