Ilikuwa duniani ndio, nani alikuambia mbinguni wanalima matunda na kuna mito na wanyama? Kulingana na maelezo ya Biblia kwamba ilikuwa katikati ya mito miwili, Eufrates na Tigris, ilikuwa eneo la Turkey, Syria au Iraq. Lakini historia inaonyesha uwezekano mkubwa ilikuwa ene la Uturuki ya leo, ambayo hadi leo ni maarufu sana kwa kilimo cha matunda.Habari wakuu
Naomben msaada juu ya hili hivi bustani ya edeni ipo mbinguni au ipo duniani???? "Ingawa Mimi naamini ilikuwepo duniani ila ikaja kuaribiwa na gharika"...
Nawasilisha
Asante mkuuIlikuwa duniani ndio, nani alikuambia mbinguni wanalima matunda na kuna mito na wanyama? Kulingana na maelezo ya Biblia kwamba ilikuwa katikati ya mito miwili, Eufrates na Tigris, ilikuwa eneo la Turkey, Syria au Iraq. Lakini historia inaonyesha uwezekano mkubwa ilikuwa ene la Uturuki ya leo, ambayo hadi leo ni maarufu sana kwa kilimo cha matunda.
Usione Syria na Iraq wana matatizo sana. Usikute ndio nchi za wazazi wetu wa kwanza! Labda ni Ibilisi anawasurubu kwa ajili ya hilo. Kwa hiyo watu walianzia hili eneo ndio wakaenea nchi nyingine hadi huku Afrika na Ulaya.
View attachment 892004
Hapa ndio huwa nacheka.Bustani lazima iwe green area, sehemu mvua nyingi nk.cha ajabu bustani ipo jangwani badala ya Afrika,.Kwa kuwa waliotuletea dini wapo huko lazima waandike bustani ipo huko lakini jiografia ya kisasa inakataa.IPO HAPAHAPA DUNIANI ILA HAKUNA AJUAJE EXACTLY SEHEMU ILIPO, INASEMEKANA NI IRAQ AU IRAN SINA HAKIKA.
Kwa evidence za kiikolojia na kibiblia bustani hii probably ilikuwa(maana sasa haipo imetoweka) katika nchi ambayo hapo awali ilijulikana km Mesotamia ambayo ni iraq ya sasa maana hyo mito inayotajwa ktk biblia ambayo ndiyo ilikuwa inazinguka bustani hyo location ya mito hyo inaonesha ni nchini Iraq.Habari wakuu
Naomben msaada juu ya hili hivi bustani ya edeni ipo mbinguni au ipo duniani????
"Ingawa Mimi naamini ilikuwepo duniani ila ikaja kuaribiwa na gharika"...
Nawasilisha
alban