Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,472
- 16,177
Huwa sielewi competency ya TAMESA jamani, ipo mifano mingi ambayo inaonesha incompetency ya TAMESA, mfano;Waziri wa uchukuzi na TEMESA mulikeni utendaji wa kigongo ferry....nadhani kuna jambo sio bure
1. Kuna siku mtu alikuwa anataka kuwalipa TAMESA kwa matengezo ya gari fulani, aisee aliomba Control Number hakufanikiwa hadi 2 weeks baada ya kwenda mbali zaidi.
2. Kuna siku pale Kigamboni wasaidizi wote walikuwa wamejazana kwenye MV Magogoni wamejisahau magari yameingia yote kumbe askar wa kufungua lango nae yupo huko anashangaa magogoni hadi watu wameanza kuoiga kelele ndo wanashtuka eheee kumbe lango la kuruhusu abiria kuingia kwenye panton halijafunguliwa.
Kwa kifupi TAMESA ni taasisi fulani ambayo inatakiwa kufumuliwa fully na kusukwa upya kbs.