Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Nilipoanza biashara nilikuwa na dreams nyingi???...
First, Nilianza kufikiria biashara za "estates" that is najenga nyumba za kupanga na kuuza ...nikakutatana na challenges zifuatazo..a)mtaji, na b) expertize...ningeshauri kama una backround ya civil engineering unaweza kufaulu kwenye hii business c) regulation/laws- kupata eneo la kujenga nyumba ni mlolongo mkubwa ajabu hapo bongo..unlike Zambia ambao it is very easy..unaweza kujenga nyumba za kupanga na kuuza kirahisi sana (have some there..nashauri wana JF muangaze na huko panalipa sana kama una uwezo)
Second, Nilijaribu Retail shops..mini supermarkets..challenges uwizi na udokozo wa wafanyakazi utakupasua kichwa hata kama unawalipa vipi..just habit..pili competition ni kubwa nafikiri ni biashara ya kila mtu hapa bongo..nikaacha au ikanishinda!
Third, transport...(hiace,daladala taxi) ..mama yangu wategemezi milion pasua kichwa (wafanyakazi wake) lakini inaleta kila siku kitu kidogo nyumbani..si rahisi kuacha kwasababu switching cost yake ni kubwa ..unakomaa nayo..natamani watokee wataalamu wa IT ili tuweke kama kitu fulani kwenye gari ili tuweze kumunita iko wapi na imetembea kilometa ngapi..waiting that to come ..not yet..in BTWN najua naibiwa lakini nafanya...
Fourth, Kuuza nafaka (agricultural products) outside the country...hii bonge ya biashara..niko nayo kwa sasa...challenges (uwe tayari kukaa kijijini, kwa muda mrefu kulala kwenye magari ya mizigo etc..) ili ilipe ina involve some sort of manual activities..and kusubiri...prices zinabadilika mara kwa mara..uwe na stoo kubwa ya kuhifadhi..
What have you tried and what are challenges....lets share business dreams???
First, Nilianza kufikiria biashara za "estates" that is najenga nyumba za kupanga na kuuza ...nikakutatana na challenges zifuatazo..a)mtaji, na b) expertize...ningeshauri kama una backround ya civil engineering unaweza kufaulu kwenye hii business c) regulation/laws- kupata eneo la kujenga nyumba ni mlolongo mkubwa ajabu hapo bongo..unlike Zambia ambao it is very easy..unaweza kujenga nyumba za kupanga na kuuza kirahisi sana (have some there..nashauri wana JF muangaze na huko panalipa sana kama una uwezo)
Second, Nilijaribu Retail shops..mini supermarkets..challenges uwizi na udokozo wa wafanyakazi utakupasua kichwa hata kama unawalipa vipi..just habit..pili competition ni kubwa nafikiri ni biashara ya kila mtu hapa bongo..nikaacha au ikanishinda!
Third, transport...(hiace,daladala taxi) ..mama yangu wategemezi milion pasua kichwa (wafanyakazi wake) lakini inaleta kila siku kitu kidogo nyumbani..si rahisi kuacha kwasababu switching cost yake ni kubwa ..unakomaa nayo..natamani watokee wataalamu wa IT ili tuweke kama kitu fulani kwenye gari ili tuweze kumunita iko wapi na imetembea kilometa ngapi..waiting that to come ..not yet..in BTWN najua naibiwa lakini nafanya...
Fourth, Kuuza nafaka (agricultural products) outside the country...hii bonge ya biashara..niko nayo kwa sasa...challenges (uwe tayari kukaa kijijini, kwa muda mrefu kulala kwenye magari ya mizigo etc..) ili ilipe ina involve some sort of manual activities..and kusubiri...prices zinabadilika mara kwa mara..uwe na stoo kubwa ya kuhifadhi..
What have you tried and what are challenges....lets share business dreams???