mtalae72
Member
- Feb 4, 2011
- 92
- 23
Nafikiri Rufani ni muhimu kuangalia pia uwezekano wa kukwepa gharama za chaguzi ndogo japo CHADEMA wana uhakika wa kushinda hilo jimbo iwapo Mahakama itaamua uchaguzi urudiwe! Nafikiri pia kufanya hivyo kutasaidia kuanika uozo wa baadhi ya majaji kutumiwa na chama tawala kwa manufaa ya watawala. Na hili ni tatizo la kikatiba maana hao jamaa wanasubiri presidential appointments. Inabidi tufike mahali hawa watu wawe wanaomba hizo nafasi kupitia kwa wananchi na siyo kwa kujipendekeza kwa watawala! GO Goo Gooo CHADEMA! This is what leadership is all about! Ndiyo ukomavu wa kisiasa huo..