Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,412
Wakuu naomba mwongozo kwa ruti tajwa japo juu.
Nina muda wa miaka kadhaa sijasafiri kutoka Arusha kwenda Mbeya hivyo huenda kuna kampuni zimeshaondoa mabasi yake barabarani na pengine mengine yameongezeka.
Kwa sababu hizo naomba kupewa mwongozo wa bus angalau ninaloweza kusafiria kwa safari za uhakika ukiachana na mambo mengne ya kupangwa na Mungu.
Natanguliza shukrani.
Nina muda wa miaka kadhaa sijasafiri kutoka Arusha kwenda Mbeya hivyo huenda kuna kampuni zimeshaondoa mabasi yake barabarani na pengine mengine yameongezeka.
Kwa sababu hizo naomba kupewa mwongozo wa bus angalau ninaloweza kusafiria kwa safari za uhakika ukiachana na mambo mengne ya kupangwa na Mungu.
Natanguliza shukrani.