Bus gani nisafirie Arusha - Mbeya?

Bus gani nisafirie Arusha - Mbeya?

Darren2019

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
1,111
Reaction score
2,412
Wakuu naomba mwongozo kwa ruti tajwa japo juu.

Nina muda wa miaka kadhaa sijasafiri kutoka Arusha kwenda Mbeya hivyo huenda kuna kampuni zimeshaondoa mabasi yake barabarani na pengine mengine yameongezeka.

Kwa sababu hizo naomba kupewa mwongozo wa bus angalau ninaloweza kusafiria kwa safari za uhakika ukiachana na mambo mengne ya kupangwa na Mungu.

Natanguliza shukrani.
 
Kama ile Kapricon yenye usajili wa T........ DVA inafanya safari za Mbeya-Arusha, na siyo Mbeya-Mwanza! basi panda hiyo.

Mabasi yaliyobakia yote tofauti na hilo, ni manganjanganja. Ukiikosa hiyo Kapricon ya DVA, bora ujaribu Kimotco.
 
Wakuu naomba mwongozo kwa ruti tajwa japo juu.

Nina muda wa miaka kadhaa sijasafiri kutoka Arusha kwenda Mbeya hivyo huenda kuna kampuni zimeshaondoa mabasi yake barabarani na pengine mengine yameongezeka.

Kwa sababu hizo naomba kupewa mwongozo wa bus angalau ninaloweza kusafiria kwa safari za uhakika ukiachana na mambo mengne ya kupangwa na Mungu.

Natanguliza shukrani.
Ndugu vipi upo salama?!
 
Zeeland Express litakufaa pia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221114-115658.png
    Screenshot_20221114-115658.png
    136.7 KB · Views: 43
Back
Top Bottom