Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 519
- 874
Natumain mpo salama.
Nina safari ya Mbeya kutokea Arusha, bahat mbaya sina uzoefu wa mabasi ya route hiyo, naomba kusaidiwa kufahama bus zuri ambalo lina service nzuri, luxury na lenye speed nzuri.
Natanguliza shukrani
Nina safari ya Mbeya kutokea Arusha, bahat mbaya sina uzoefu wa mabasi ya route hiyo, naomba kusaidiwa kufahama bus zuri ambalo lina service nzuri, luxury na lenye speed nzuri.
Natanguliza shukrani