Msaada bus zuri Arusha-Mbeya

Msaada bus zuri Arusha-Mbeya

Afisa Tabibu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
519
Reaction score
874
Natumain mpo salama.

Nina safari ya Mbeya kutokea Arusha, bahat mbaya sina uzoefu wa mabasi ya route hiyo, naomba kusaidiwa kufahama bus zuri ambalo lina service nzuri, luxury na lenye speed nzuri.

Natanguliza shukrani
 
Mmmh safari ndefu hii....
Fanya hivi...
Panda Arusha - Iringa na KIMOTCO.
Hapo Iringa kula bata na watoto wa MIAMI, HOLIDAY INN na kwengine.
Choma nyama ya mdudu kwenye vibanda vya CCM.

Halafu kesho yake subiri gari za Dodoma - Mbeya (Ngasere, Shabiby, Kimbinyiko) halafu malizia safari..!!!

#YNWA
 
Hood yatosha mzee baba kama unakuja tukuyu/kyela shuka uyole lamba costa chap saa7 usiku ushafika ipinda
 
Mmmh safari ndefu hii....
Fanya hivi...
Panda Arusha - Iringa na KIMOTCO.
Hapo Iringa kula bata na watoto wa MIAMI, HOLIDAY INN na kwengine.
Choma nyama ya mdudu kwenye vibanda vya CCM.

Halafu kesho yake subiri gari za Dodoma - Mbeya (Ngasere, Shabiby, Kimbinyiko) halafu malizia safari..!!!

#YNWA
Holiday inn sio sehemu ya kula maisha mtu aliye na akili timamu. Hamna watoto pale, wanawake wamechok mbaya.
 
Safiri na Capricorn mkuu utanishukuru baadae.
 
Natumain mpo salama.

Nina safari ya Mbeya kutokea Arusha, bahat mbaya sina uzoefu wa mabasi ya route hiyo, naomba kusaidiwa kufahama bus zuri ambalo lina service nzuri, luxury na lenye speed nzuri.

Natanguliza shukrani

Hajis Line
 
Back
Top Bottom