TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Nauza gari ya abiria ambayo ina viti 32 na ipo katika hali nzuri kabisa na inafanya kazi ya shule.Aina ya basi hii ni Mercedes Benz ambayo vipuli havina shida na engine ni 4lt automatic na ni ya mwaka 1994.Naliuza kwasababu nipo nje ya nchi na usimamizi wake kidogo unanisumbua kwa kumuachia mtu dhamana.Unaweza kupata maelezo au kama utapenda kwenda kuliona unaweza kuwasiliana na Habibu 0717810318 na lipo Dar mitaa ya Magomeni.Mimi nahitaji milioni 16.Shukrani..