Burundi: Rais Pierre Nkurunziza asema Rwanda imekuwa adui. Aomba kikao cha EAC kujadili mzozo uliopo

Hizo takwimu umezitoa wapi? Rwanda ina watu milioni 12 na Burundi ina watu milioni 10 na Tanzania ina watu zaidi milioni 50. Ukubwa wa nchi hauwezi kuupima kwa idadi ya watu, kwani Burundi bado ni kubwa ukilinganisha na Rwanda vile vile Kanda ya ziwa ni mikoa inayozunguka Ziwa Viktoria; Mara, Simiyu, Mwanza, Geita, Shinyanga na Kagera. Hii idadi ya watu wa mikoa yote unawezaje kulinganisha na Rwanda?
Rudia kusoma comment yake. Anaelezea population siyo ukubwa wa nchi.
 
Mimi binafsi sioni tija ya hii jumuiya zaidi ya vikao vingiii lakini haina umuhimu kabisa hata wabunge wao sijui wana kazi gani kama sio kuzitia hasara hizi nchi kwakuwa hazina siasa za aina moja. Kenya tu ndio iko democratic lakini nyingine zote zinaendeshwa kidikteta uchwara
Niungane mkono na wewe, ni ukweli usiopingika kwamba wabunge wa EAC hawana kazi wanayofanya zaidi ya kujikalisha kwenye vikao visivyo na tija na wanalipwa posho ya bure tu
 
Ni kosa sana kumuweka mtu kuwa Rais akiwa kijana under 45 years.
Akifikiria kuachia madaraka anahisi atakufa kesho yake.
 
Kuikaribisha Rwanda ndani ya EAC ilikuwa bonge la blunder.
Mimi nadhani badala ya kuiruhusu Burundi ikatoka ndani ya EAC ni vyema kuangalia namna ya kuiondoa Rwanda.

Rwanda inatuhumiwa kusuka mchezo wa kutaka kumuondoa Museveni hivi juzi kati
Rwanda inamewahi kumtishia uhai Rais Kikwete wa Tanzania, tukayamaliza kiutu uzima.
Rwanda ilipanga kuipindua Serikali ya Burundi hivi karibuni.
Rwanda iko Congo inasumbua watu wa DRC hawana amani.
Rwanda ilifukuzwa jumuiya ya Afrika ya Kati kwa sababu hizi hizi za kuhujumu nchi wanachama.
Kwa nini Rwanda??.

Kuna mpango wa siri siri pale green house wa kuivuta Burundi kuingia SADC, mpango unaosimamiwa na Tanzania.
Lakini kabla ya option hio ni bora kuangalia option ya kuondoa nyoka Rwanda ndani ya EAC maana ndiye kirusi.
Ni wakati pia Tanzania kujiuliza faida aliyoipata Congo baada ya gree house kuipigia chepuo na kumuingiza Mkongo SADC, kama faida haikupatikana Congo kwa nini itapatikana kwa Burundi??

Tutawaingiza wangapi huko SADC??
Ndiyooooooooooo
 
Madikteta wanataka kuchapana, wanapeleka malalamiko yao kwa dikteta mwenzao, dikteta mwingine anawaangalia tu huku yuko bize na mafaili kitandani te te te te te
Ndugu unanivunja mbavu, huo ni ukweli mtupu. Nchi pekee ninayoiona inaongozwa kidemokrasia katika jumuiya hii ya East Africa na isiyokuwa na raisi dikteta ni KENYA. Long live Uhuru Kenyatta.
 
Kuikaribisha Rwanda ndani ya EAC ilikuwa bonge la blunder.
Mimi nadhani badala ya kuiruhusu Burundi ikatoka ndani ya EAC ni vyema kuangalia namna ya kuiondoa Rwanda.

Rwanda inatuhumiwa kusuka mchezo wa kutaka kumuondoa Museveni hivi juzi kati
Rwanda inamewahi kumtishia uhai Rais Kikwete wa Tanzania, tukayamaliza kiutu uzima.
Rwanda ilipanga kuipindua Serikali ya Burundi hivi karibuni.
Rwanda iko Congo inasumbua watu wa DRC hawana amani.
Rwanda ilifukuzwa jumuiya ya Afrika ya Kati kwa sababu hizi hizi za kuhujumu nchi wanachama.
Kwa nini Rwanda??.

Kuna mpango wa siri siri pale green house wa kuivuta Burundi kuingia SADC, mpango unaosimamiwa na Tanzania.
Lakini kabla ya option hio ni bora kuangalia option ya kuondoa nyoka Rwanda ndani ya EAC maana ndiye kirusi.
Ni wakati pia Tanzania kujiuliza faida aliyoipata Congo baada ya gree house kuipigia chepuo na kumuingiza Mkongo SADC, kama faida haikupatikana Congo kwa nini itapatikana kwa Burundi??

Tutawaingiza wangapi huko SADC??
Ukiondoa Kenya, wote waliobaki ni udikteta tu. Hakuna cha East Africa wala ni, ni club ya kupeana mikakati ya kuimarisha udikteta .
 
Sasa hivi vinchi vidogo vidogo kama vingunguti badala ya kuungana vinakubali wafaransa/wabelgiji wawatilie fitna?
 
Kama umefuatilia, kuna udhaifu wa watu kujidai wanaifahamu sana Afrika na kila wakati kueleza eti Kenya ina nafuu. KIla wakati Kenya ina nafuu. Nafuu ipi?

Hata wakenya wanajiona wana nafuu wakati chaguzi zao ni hoi kuliko kipimo.
Hili ndio tatizo,,hivi kweli kwenye eneo la demokrasia unaweza kufananisha Kenya na Sisi Kweli,,,,Inamaana hufuatlii hata chaguzi ndogo za Kenya Inakuwaje,, na chaguzi ndogo za huku zinakuwaje,,hata composiyion ya bunge na senate kenya na sisi ikoje,, has kwa idadi ya wabunge na maseneta. Uhuru wa Mahakama za Kenya Upoje,,,, mambo madogo kam issues za dhamana mahakamani,,,,Hali ya mikutano ya kisiasa kenya na sisi,, ipoje,,,Watu waliweza kumwapisha mtu mwimgine,,, hili kweli Tanzania linawezekana,,,,. Katiba ya Kenya ni bora Kuliko katiba yetu,,,,angali a hata Majaji wa Kenya wanavyopatikana,,, Jamiii inashirikishwa,,huku hata wakwe watateuliwa tu ,,haijalishi wanasifa au hawana.
 
Kuikaribisha Rwanda ndani ya EAC ilikuwa bonge la blunder.
Mimi nadhani badala ya kuiruhusu Burundi ikatoka ndani ya EAC ni vyema kuangalia namna ya kuiondoa Rwanda.

Rwanda inatuhumiwa kusuka mchezo wa kutaka kumuondoa Museveni hivi juzi kati
Rwanda inamewahi kumtishia uhai Rais Kikwete wa Tanzania, tukayamaliza kiutu uzima.
Rwanda ilipanga kuipindua Serikali ya Burundi hivi karibuni.
Rwanda iko Congo inasumbua watu wa DRC hawana amani.
Rwanda ilifukuzwa jumuiya ya Afrika ya Kati kwa sababu hizi hizi za kuhujumu nchi wanachama.
Kwa nini Rwanda??.

Kuna mpango wa siri siri pale green house wa kuivuta Burundi kuingia SADC, mpango unaosimamiwa na Tanzania.
Lakini kabla ya option hio ni bora kuangalia option ya kuondoa nyoka Rwanda ndani ya EAC maana ndiye kirusi.
Ni wakati pia Tanzania kujiuliza faida aliyoipata Congo baada ya gree house kuipigia chepuo na kumuingiza Mkongo SADC, kama faida haikupatikana Congo kwa nini itapatikana kwa Burundi??

Tutawaingiza wangapi huko SADC??
Keep your friends close, your enemy closer. Rwanda ni hatari zaidi ikiwa nje ya EAC
 
Akiwa ndani anakuwa na vitu ana interest/faida navyo, so atafikiria mara mbili kufanya hujuma. Akiwa nje he has nothing to loose. Sijaongelea uwezo wa kuhujumu ila nia ya kufanya hivyo
ni kweli lkn nia ya kuhujumu EA anayo na anafanya kadri anavyopata nafasi na ni muhimu kwake kufanya hivyo

lkn uwezo wake ni mdogo saana japo sio wa kubeza
 
Back
Top Bottom