M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,097
Huyo anapenda uchu wa uongozi,kwani angeacha kugombea angekufa au
kama hawamtaki si wamkatae kwenye sanduku la kura?
Si waonyeshe kumkataa kwenye kura?Wananchi hawakutaki sasa utang'ang'aniaje kuwaongoza hata kama una haki.
Weeeee hivi unafkiri wao ni wajinga kuanza maandamano kabla ya uchaguzi??
Wanajua results zitakuwa twisted tuu.
kama hawamtaki si wamkatae kwenye sanduku la kura?
Si waonyeshe kumkataa kwenye kura?
Kwa hiyo hawakubali kushindwa. siasa gani hizi, inaonesha wameshindwa hata kabla ya uchaguzi, hawajiamini
Kama Ameweza Kupindua Katiba Atashindwa Kupindua Matokeo Ya Kura?
Sio kutojiamini huyu mkuu kadhamiria kutaka kuendelea kuiongoza nchi so hata iweje anataka abaki so wananchi wakaona lilobaki nikuanza maandamano tuu yasiyo kuwa na kikomo.
Inaelekea katiba yao imebakiza upenyo anaoutumia nkurunzinza kwa hivyo kwa faida ya amani warundi wasiwe kichwa cha mwendawazimu. La muhimu kwa warundi wadai jumuiya ya kimataifa kuwahakikishia uchaguzi huru haki na wa amani. Kama hawamtaki nkurunzinza watamtosa. Sio watu wachache kwa sababu za kikabila kutaka kuiletea nchi balaa.Kama habari ulivyoiweka nguvu ya umma haijashinda kwani Nkurunzinza amesema anataka awamu hii ndo iwe ya mwisho wakati wananchi hawataki kuongozwau nae kwa awamu nyingine.
Haina faida kuandamana namna hiyo. madhara ni mengi, tayari watu kadhaa wamepoteza maisha, wengine wamekimbia nchi yao. hasara tupu
Sasa muda wowote alikuwa anasubiri nini kutoa hiyo kauli mpaka wananchi wake wameuwawa na kujeruhiwa .
Ili nguvu ya wananchi ishinde anatakiwa hasigombee kabisa. Lazima wafuate matakwa ya makubaliano ya Arudha yaliyoleta hiyo amani anaingia madarakani. Ameongoza vipindi viwili inatosha na hasianze kuitafasiri Katiba kwa matakwa yake. Isingekuwa hayo makubaliano kusingekuwa na kifungu hicho ndani ya Katiba. Hili siyo suala la kuchaguliwa na bunge au wananchi; ni suala la 'principle behind the requirement'. Bahati mbaya katika kundi la mawaziri wa Afrika Mashariki walioenda huko ni mawaziri wa Tanzania na Kenya tu wanaoweza kusimamia principle hii, wengine wako katika kundi la Madhambi yanayotendwa na Nkurunziza.Hatimae nguvu ya uma imedhihiri nchini burundi baada ya kuushinda udhalimu.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba endapo atachaguliwa kuiongoza nchi hiyo mwezi June mwaka huu ,kwa muhula wa tatu basi itakuwa ni kipindi cha ukomo wa yeye kuendelea kusalia madarakani ,msemaji wa serikali ya Burundi Gervais Abayehorwa amesema hayo mapema Jumatano .
Rais Pierre Nkurunziza uamuzi wake wa kugombea kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa tatu uliibua hisia tofauti tofauti na kuzusha maandamano makubwa.
Waandamanaji wanadai kwamba kwa muujibu wa katiba ya nchi hiyo rais anapaswa kuiongoza nchi kwa mihula miwili tu.
Nayo mahakama ya katiba wameeleza kwamba hawahesabu muhula wa kwanza wa raisi huyo madarakani kwasababu aliteuliwa na wabunge na si kuchaguliwa kwa kupigiwa kura.
Regina Mziwanda kutoka mjini Dar-Es-Salaam amezungumza na msemaji huyo wa serikali ya Burundi ,kutaka kujua Nini ujumbe wa Rais Pirre Nkurunziza kwa taifa la Burundi pindi alipohutubia mapema Jumatano.?
Chanzo: BBC
Kama habari ulivyoiweka nguvu ya umma haijashinda kwani Nkurunzinza amesema anataka awamu hii ndo iwe ya mwisho wakati wananchi hawataki kuongozwa nae kwa awamu nyingine.
Kichwa cha habari ni tofauti na ulichoeleza
kama hawamtaki si wamkatae kwenye sanduku la kura?
Hatimae nguvu ya uma imedhihiri nchini burundi baada ya kuushinda udhalimu.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba endapo atachaguliwa kuiongoza nchi hiyo mwezi June mwaka huu ,kwa muhula wa tatu basi itakuwa ni kipindi cha ukomo wa yeye kuendelea kusalia madarakani ,msemaji wa serikali ya Burundi Gervais Abayehorwa amesema hayo mapema Jumatano .
Rais Pierre Nkurunziza uamuzi wake wa kugombea kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa tatu uliibua hisia tofauti tofauti na kuzusha maandamano makubwa.
Waandamanaji wanadai kwamba kwa muujibu wa katiba ya nchi hiyo rais anapaswa kuiongoza nchi kwa mihula miwili tu.
Nayo mahakama ya katiba wameeleza kwamba hawahesabu muhula wa kwanza wa raisi huyo madarakani kwasababu aliteuliwa na wabunge na si kuchaguliwa kwa kupigiwa kura.
Regina Mziwanda kutoka mjini Dar-Es-Salaam amezungumza na msemaji huyo wa serikali ya Burundi ,kutaka kujua Nini ujumbe wa Rais Pirre Nkurunziza kwa taifa la Burundi pindi alipohutubia mapema Jumatano.?
Chanzo: BBC