Burudani Katika Historia ya Africa

Burudani Katika Historia ya Africa

TUJITEGEMEE

Platinum Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
27,471
Reaction score
28,335
Uzi huu ni maalum kwa ajiri/li ( Faiza Foxy nisaidie usahihi wa hilo neno) ya nyimbo, muziki,ngonjera,mashairi, filamu, hotuba zinazochangamsha wasikilizaji na kila jambo linalohusu burudani juu ya historia ya Afrika.

Kwa leo Naanza na ngoma ya kutoka Ukerewe. Ngoma inaelezea Uhuru wa Zimbabwe.


Karibu

 
Back
Top Bottom