Kupitishwa kwa dharura haimaanishi si bora au si salama. Kuna dawa kibao zilifanyiwa majaribio yote na kupitishwa, lakini baada ya miaka mingi sokoni Ikatolewa sababu ya madhara. Dawa nyingi za ukimwi ziliokuwa zinatumika mwanzo haiztumiki tena leo, sababu zimekuwa na madhara makali.