Buriani rafiki yangu Wendo Mwapachu

The Boss,
Mwaka wa 1963 ulikuwa mwaka wa matukio makubwa kwa Waislam wa Tanganyika.

Ndani ya Halmashauri Kuu ya TANU Julius Nyerere alipambana kwa maneno makali na Titi Mohamed ugomvi ukiwa Aga Khan na East African Muslim Welfare Society (EAMWS).

Ugomvi huu hakuweza kumalizika kwani wote wawili walikuwa na mfundo ndani ya nafsi zao.
Shariff Hussein Badawy na mdogo wake Mwinyibaba wakafukuzwa nchini warudi kwao Kenya.

Shariff Hussein alikuwa na madrasa kubwa Msikiti wa Badawy (sasa Rawdha).

Mwaka huo wa 1963 Bilal Rehani Waikela akakabiliana na Nyerere katika risala aliyosoma mbele yake katika ufungaji wa Muslim Congress iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Aga Khan ya Wasichana.

Mwaka huo Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti wa Mzee Iddi Tulio likavunjwa kwa madai kuwa baraza lilikuwa linachanganya dini na siasa.

Wajumbe wote wa baraza hili walikuwa Waislam na lilitoa mchango mkubwa katika kupigania uhuru wa Tanganyika.



Historia hiyo hapo juu nimeieleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes.
Mwaka huo wa 1963 Bilal Rehani Waikela akakabiliana na Nyerere katika risala aliyosoma mbele yake katika ufungaji wa Muslim Congress iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Aga Khan ya Wasichana.

Mzee Bilal (wakati huo Kijana) alipotakiwa kuchagua moja kati ya Siasa/Chama(TANU) na Muslim Walfare Societ ndipo rasmi akaachana na TANU kubaki na Muslim Walfare Societ.

Sipo kwenye aina ya misimamo yake, ila Mzee ni mfano wa Watu wenye misimamo thabiti kwa kile wanachokiamini, tofauti kabisa na Wanasiasa tulionao leo hii, wepesi sana ambapo wakitikiswa kidogo tu wanafuata upepo.
 
Mwapachu kafariki 1962
Sheikh Amri Abeid mwaka 1963..
Fundikira alishafukuzwa cabinet mwaka huo ..
Prominent Muslims were becoming even more fewer in the government..
Waislam akili yenu huwa haiwazi nje ya uislamu.Kila kitu lazima mkihusishe na uislamu,mkienda mpirani mnaangalia refa dini gani,kocha dini gani wachezaji dini gani,mkienda sokoni mnaangalia muuza Nazi dini gani nk.
Kuweni huru fikirieni vitu nje ya uislamu.
 
Waislam akili yenu huwa haiwazi nje ya uislamu.Kila kitu lazima mkihusishe na uislamu,mkienda mpirani mnaangalia refa dini gani,kocha dini gani wachezaji dini gani,mkienda sokoni mnaangalia muuza Nazi dini gani nk.
Kuweni huru fikirieni vitu nje ya uislamu.

Ni kama Jews after Hitler..
Lazima uulize before Hitler ilikuwaje..
Wewe hukupitia 'holocast'..
Wale waliopitia holocaust ndo wanajua umuhimu wa Ku keep records..

Watu walienda udsm na kujikuta wako 7 Tu
Kina Seif na lipumba ..na hapo ni mwaka 1971..ten years after independence
Wakati Nyerere aliahidi Equal education na marginalised group 1961..

We know the history.....

Ni Sawa useme Why Blacks wanalalamika wakikamatwa na Polisi ..si waache uhalifu?
Wewe hutaelewa .
 
Mwapachu kafariki 1962
Sheikh Amri Abeid mwaka 1963..
Fundikira alishafukuzwa cabinet mwaka huo ..
Prominent Muslims were becoming even more fewer in the government..
Shaaban robert 1962
Mwanamuziki salum abdala 64 au 65
 
The Boss,
Mwaka wa 1963 ulikuwa mwaka wa matukio makubwa kwa Waislam wa Tanganyika.

Ndani ya Halmashauri Kuu ya TANU Julius Nyerere alipambana kwa maneno makali na Titi Mohamed ugomvi ukiwa Aga Khan na East African Muslim Welfare Society (EAMWS).

Ugomvi huu hakuweza kumalizika kwani wote wawili walikuwa na mfundo ndani ya nafsi zao.
Shariff Hussein Badawy na mdogo wake Mwinyibaba wakafukuzwa nchini warudi kwao Kenya.

Shariff Hussein alikuwa na madrasa kubwa Msikiti wa Badawy (sasa Rawdha).

Mwaka huo wa 1963 Bilal Rehani Waikela akakabiliana na Nyerere katika risala aliyosoma mbele yake katika ufungaji wa Muslim Congress iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Aga Khan ya Wasichana.

Mwaka huo Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti wa Mzee Iddi Tulio likavunjwa kwa madai kuwa baraza lilikuwa linachanganya dini na siasa.

Wajumbe wote wa baraza hili walikuwa Waislam na lilitoa mchango mkubwa katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Historia hiyo hapo juu nimeieleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes.
Hapo chini ni picha ya Baraza la Wazee wa TANU:

View attachment 1841506

View attachment 1841501
Hapo nyerere alikuwa sawa,hili ni baraza la Tanu au baraza la msikiti
 
Ni kama Jews after Hitler..
Lazima uulize before Hitler ilikuwaje..
Wewe hukupitia 'holocast'..
Wale waliopitia holocaust ndo wanajua umuhimu wa Ku keep records..

Watu walienda udsm na kujikuta wako 7 Tu
Kina Seif na lipumba ..na hapo ni mwaka 1971..ten years after independence
Wakati Nyerere aliahidi Equal education na marginalised group 1961..

We know the history.....

Ni Sawa useme Why Blacks wanalalamika wakikamatwa na Polisi ..si waache uhalifu?
Wewe hutaelewa .
The Boss,
Umenishtua sana.
Kumbe sikuwa nakujua.

What eloquence!
Jibu mujarab.

Mashaallah.
 
Hapo nyerere alikuwa sawa,hili ni baraza la Tanu au baraza la msikiti
Mdukuzi,
Hili baraza wakati Nyerere anafika Dar es Salaam kalikuta linapambana na ukoloni na likawepo hivyo wakati wa kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Baraza hili chini ya Mwenyekiti Sheikh Suleiman Takadir likampokea kwa wema na mapenzi makubwa alipoungananao kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Acha kumtisha basi,huyu hata 70 hajafika
Mdukuzi,
Wako wanaotishika wakisikia kifo na wako wasiotishika wakisikia kifo.

Mimi nina miaka 69.

Umri wa kuishi wa umma huu ni miaka 60 au 70.

Wengi hufa kati ya 60 na 70 na takwimu zinathibitisha hili.

Mtume SAW anasema mtu mwenye akili nzuri ni yule anaekikumbuka kifo.

Nami dua yangu siku zote ni kuwa nisighafilike na kifo.

Nami leo nakushukuru wewe kwa kunikumbusha kufa.
 
Mdukuzi,
Hili baraza wakati Nyerere anafika Dar es Salaam kalikuta linapambana na ukoloni na likawepo hivyo wakati wa kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Lengo la nyerere ilikuwa ni kuleta sura ya kitaifa kwenye mambo mengi ndio maana hata shule za kanisa alizitaifisha japo ye mkatoliki, machifu akawafuta japo ye mtoto wa chifu,kumuelewa nyerere haijawahi kuwa rahisi
 
Mdukuzi,
Wako wanaotishika wakisikia kifo na wako wasiotishika wakisikia kifo.

Mimi nina miaka 69.

Umri wa kuishi wa umma huu ni miaka 60 au 70.

Wengi hufa kati ya 60 na 70 na takwimu zinathibitisha hili.

Mtume SAW anasema mtu mwenye akili nzuri ni yule anaekikumbuka kifo.

Nami dua yangu siku zote ni kuwa nisighafilike na kifo.

Nami leo nakushukuru wewe kwa kunikumbusha kufa.
Ni kweli kufa hakuzoeleki jirani yako marijani aliimba kuhusu rufani ya kifo,bado tunahitaji nondo zako Mungu ikimpendeza akupe maisha marefu
 
Kwa umri huo bado unakunywa cocakola au macho yangu
Kina...
Kuna wakati Coca Cola kwa ajili ya kukuza soko lao walikuwa wanaandika majina kwenye chupa.

Hizo chupa mbili zina majina yangu.

Screenshot_20210705-105258_Chrome.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom