Okay okay asante mkuu,du kitambo sana.huyu jamaa ni kati ya watu tuliopotezana toka miaka hiyo.halafu very sad kusikia hatunaye tena.kumbe aliendelea kuwa social.
Mama yake(Mwenda Mseke) ni miongoni mwa waalimu walio shape maisha yangu.Tulikuwa tunaenda kula ubwabwa wa wanachuo pale MTC kutoka Ikuti primary.Enzi hizo ubwabwa ni kitu mhimu sana na adimu
R.I.P Peter Mwendamseke