dah!kweli mkuu hiki kitabu umekisoma vizuri sana,nadhani nili confuse jina la abdul na abunuasi!
Basi bwana,maskini mmoja alienda nyuma ya jiko la tajiri mmoja akiwa na ugali wake mkavu.kutokana na harufu nzuri iliyokuwa ikitoka jikoni,jamaa akawa anamega tonge,analielekezea kule inakotoka harufu,then anameza tonge.Basi tajiri alipomkuta,akampeleka mahakamani ili alipe harufu aliyokula.Mtetezi wa mtuhumiwa alikuwa abdul.Abdul akasema haina shaka tutamlipa hiyo harufu yake.Abdul alichukua sarafu,akawa anadondosha chini,sarafu ikitoa mlio,abdul anamuuliza tajiri,'umeisikia hiyo sauti?kama umeisikia,nimeshakulipa kwa mlio wa sarafu.Abdul aliendelea na mchezo huo mpaka pesa anayodai tajiri ikatimia lakini ndo hivyo,abdul alilipa harufu ya nyama kwa sauti za sarafu.
Basi bwana,maskini mmoja alienda nyuma ya jiko la tajiri mmoja akiwa na ugali wake mkavu.kutokana na harufu nzuri iliyokuwa ikitoka jikoni,jamaa akawa anamega tonge,analielekezea kule inakotoka harufu,then anameza tonge.Basi tajiri alipomkuta,akampeleka mahakamani ili alipe harufu aliyokula.Mtetezi wa mtuhumiwa alikuwa abdul.Abdul akasema haina shaka tutamlipa hiyo harufu yake.Abdul alichukua sarafu,akawa anadondosha chini,sarafu ikitoa mlio,abdul anamuuliza tajiri,'umeisikia hiyo sauti?kama umeisikia,nimeshakulipa kwa mlio wa sarafu.Abdul aliendelea na mchezo huo mpaka pesa anayodai tajiri ikatimia lakini ndo hivyo,abdul alilipa harufu ya nyama kwa sauti za sarafu.
Hapo MKUU umechemsha. ABUNUAS hakuwa na akili hizo. Ninavyojua mie ABUNUAS ni jitu JINGA.
Basi bwana,maskini mmoja alienda nyuma ya jiko la tajiri mmoja akiwa na ugali wake mkavu.kutokana na harufu nzuri iliyokuwa ikitoka jikoni,jamaa akawa anamega tonge,analielekezea kule inakotoka harufu,then anameza tonge.Basi tajiri alipomkuta,akampeleka mahakamani ili alipe harufu aliyokula.Mtetezi wa mtuhumiwa alikuwa abdul.Abdul akasema haina shaka tutamlipa hiyo harufu yake.Abdul alichukua sarafu,akawa anadondosha chini,sarafu ikitoa mlio,abdul anamuuliza tajiri,'umeisikia hiyo sauti?kama umeisikia,nimeshakulipa kwa mlio wa sarafu.Abdul aliendelea na mchezo huo mpaka pesa anayodai tajiri ikatimia lakini ndo hivyo,abdul alilipa harufu ya nyama kwa sauti za sarafu.