kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Uwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo".
Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.
Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.
Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.
Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.