Buni wazo la biashara mtaji juu yangu

Akili zako za kijinga saana we jamaa kuna watu wenye shida we tajiri pita pumba..vu kabisa, lazma uanzie zero ndo uende moja, fikiria saana utaraaniwa na uzazi wako wote,

Wewe ndio utalaaniwa hauwezi kuja na mwembwe nyingi kumbe kamtaji kenyewe penenge nenda kinondoni ukafungue banda la kuuza chips tena uongeze hata milioni 2 ya kodi,hiko ki 4m ni kodi ya kupanga uchochoro k/koo ningekushauri uende sema napo msingi wako penenge!! Hizo gear zako za kutafuta watoto wa kike kwa janja hizo ni za kizamani watu washakustukia ndio maana mchangiaji wa mwanzo kakuumbua na kwenye maelezo yako umeanza kwamba ushamtafutia mdada kazi kwenye bizness yako ili uwavute wadada wengine waingie king.
 
Najua unachangia ili uonekane, Sina shida na mwanamke hayo ni mawazo yako, kwa taarifa yako mtu alipatika na biashara inafanyika vizuri tu lengo ni kusaidiana wewe tajiri baki na utajiri wako tuache sisi walala hoi tusaidiane,
 
nashukuru nimempata mdada kupitia jukwaa hili wa kuniuzia kiduka changu cha nguo na mambo yanaenda vizuri. Karibuni kijitonyama mumuchangie,

leo nina wazo hili.
Kulingana na kuwa na majukumu binafisi,

nitatoa million mbili kwa kijana yeyote wa kitamzania ambaye atakuwa tayari kubuni biashara au kutafuta fursa au office ya aina yeyote harali.

Hiyo biashara itakuwa yangu yeye atakuwa kama nimemwajiri japo atakuwa amebuni na kuanzisha biashara hiyo.

Leseni nitamchukulia mimi tra,

location au eneo au frem ya biashara atatafuta mwenyewe ila nitaiilipia mimi na mumiliki wa nyumba au frem hizo atanitambua mimi kama mkodishiwa,

biashara isiwe mobile (easy to be moved).

Bizaa tutaenda kununua wote hadi hapo tutakapoaminiana,

mauzo ya kila siku yatawasilishwa kwa namna tukavyopatana,

eneo la biashara ni sehem yeyote mkoa wa dsm au mkoa wa pwani.

Awe na umri unaotakiwa kisheria kuajiriwa,

awe tayari kunipeleka kwa kwa ndugu au mtu anaetambulika.

Atatakiwa kwenda naye mahakamani kwa ajili ya kuapa akiwa na vizibitisho (dhamana) inaweza ikawa barua, vyeti na picha n.k... Hii itasaidia siku akikimbia nikimkamata niweze kumuadhibu kisheria na kihaki.

Jinsia yeyote na elimu yeyote,

asiwe mkubwa saana hadi nikawa namuogopa kusaidiana katika kukuza biashara yetu. (umri wa kati tu).


Sihitaji business plan nahitaji wazo lako tu, mfano sema nitafungua grocery sehem flan au nitafungua stationary sehem flan nk. Na mimi nitapima wazo lako nikilikubali ndo tutaanzia hapo.

Awe mwaminifu.

hongera sana , wazo lako zuri sana tatizo watu wetu na culture zetu za ubibi na lele mama.
 
huyu King Kong III huwa anajifanya anajua saana lakini mara zote ni mpuuzi tu.

Mkuu kama kutukana najua sana usibonyeze report abuse tu,weka post yangu niliyojifanya najua!! Kwenye ukweli lazima tueleze ukweli kama kusaidia kwanini asianze na ndugu zake kwani hawana idea? Tufikiri nje ya box sio kila kitu tu hewala kuna mambo najua na kuna mengine sijui ndio maana hauwezi kuniona nimechangia jiheshimu usijione unajua kejeli wewe mbwiga wa mbwiguke
 
Last edited by a moderator:
loh, naona kitu kidogo watu washaanza kutukanana na kuparuana makucha! mi sijaona kosa la mleta mada, ni kwamba ana kijipesa hicho kidogo lakini hana wazo la biashara, kwa kijana mwenye wazo lakini hana mtaji yeye atamwajiri, sasa sisi tusiohusika sioni tunakwazwa na nini!! tunatofautiana viwango, mwingine anaona laki si mtaji mwingine anakwenda kuikopa saccos, mwingine anaona milioni mia sita ni mtaji mwingine itampa mawazo tu aifanyie nini kwa sababu hana wazo la pesa ndogo kama hiyo! tuacheni jamani kukatishana tamaa, hayo mashaka ya kwamba anatafuta wanawake si juu yetu ni shauri yake kama anatafuta wanawake, lakini sijaona kama amespecify kwamba wadada tu ndiyo wanaruhusiwa!
 
Nakusaidia tu, sitaki malipo. Fungua ofisi ya Recruitment ;-
Wafanyakazi wa majumbani kila kichwa $2000
Wafanyakazi Mahoteli kila kichwa $2500
Wafanyakazi carwash kila kichwa $1800
Soko kuu lipo M/E , China, Far-East,nk. kama upo tayari PM imed.

harufu ya slave trade
 
Mkuu unaongeza biashara nini! Ulikuwa na biashara ya Tablets toka China baadaye ukatuambia masuala ya Incubators toka China na sasa unataka ubuniwe biashara!
 
Unajua kabla hujamjibu mleta mada click posts zake ndio utajua kwamba ni mbabaishaji.Post zinajichanganya.
Hakuna mfanyabiashara wala nini.
Ukweli ni kwamba mleta mada anapotezea watu muda.
Anasema kwamba atatoa 2m,kwa mleta wazo.Hii hata mtoto mdogo anaona kama mchezo wa nage.
Na wale wote walioanzisha Matusi kwa Kingkong ni kwamba wapo na mategemea ya kupata hilo dili kwenye hizo Pms zenu.Lakini wajue kwamba imekula kwao.
Humu Jf kuna watu maelfu wamepata mawazo ya Biashara buree bila kulipa,na uki google tu utapata ushahidi huo.Sasa huyu na hizi mbwembwe zake za 2m ndio nini sasa.
Yaani Wakurya nyie mnakuwa kama wale jirani zenu kwa misifa ya kijinga.
 
Nyia mnataka mdhulumiane tu.
We mtu kijijini kwao watu njaa huko ndugu zake wenyewe taabani aje akuwezeshe wewe?
Nyie ndio mwisho wa siku mnatumikishwa kama misukule kwenye biashara za watu.
We fungua posts zake huyo unaesema atakusaidi ndio utapata jibu
 
Unajua kabla hujamjibu mleta mada click posts zake ndio utajua kwamba ni mbabaishaji.Post zinajichanganya.
Hakuna mfanyabiashara wala nini.
Ukweli ni kwamba mleta mada anapotezea watu muda.
Anasema kwamba atatoa 2m,kwa mleta wazo.Hii hata mtoto mdogo anaona kama mchezo wa nage.
Na wale wote walioanzisha Matusi kwa Kingkong ni kwamba wapo na mategemea ya kupata hilo dili kwenye hizo Pms zenu.Lakini wajue kwamba imekula kwao.
Humu Jf kuna watu maelfu wamepata mawazo ya Biashara buree bila kulipa,na uki google tu utapata ushahidi huo.Sasa huyu na hizi mbwembwe zake za 2m ndio nini sasa.
Yaani Wakurya nyie mnakuwa kama wale jirani zenu kwa misifa ya kijinga.

Heshima kwako Zanzibar Spices huyu jamaa anatufanya sie wajinga humu ukiangalia jinsi alivyoanza tu utajua lengo lake ni kuweka mtego wa kina dada awapate mara oh nimeshapata dada anauza duka langu la nguo mara oh idea nitatoa 2m yani anaweka mitego awaingize king watoto wa kike.
 
Last edited by a moderator:
Wewe unasifa za kufanya kazi idara ya ajira kwa vijana. Na wakipatikana watanzania 100 wenye mtazamo kama wako nchii itaenda mbali. Najihusisha na vijana na nimebaini kuwa vijana wanamawazo mazuri sana tatizo hata mtu wa kuwasikiliza tu hayupo. Serikali wameng'angania kuwa vijana waunde vikundi
 
Unajua kabla hujamjibu mleta mada click posts zake ndio utajua kwamba ni mbabaishaji.Post zinajichanganya.
Hakuna mfanyabiashara wala nini.
Ukweli ni kwamba mleta mada anapotezea watu muda.
Anasema kwamba atatoa 2m,kwa mleta wazo.Hii hata mtoto mdogo anaona kama mchezo wa nage.
Na wale wote walioanzisha Matusi kwa Kingkong ni kwamba wapo na mategemea ya kupata hilo dili kwenye hizo Pms zenu.Lakini wajue kwamba imekula kwao.
Humu Jf kuna watu maelfu wamepata mawazo ya Biashara buree bila kulipa,na uki google tu utapata ushahidi huo.Sasa huyu na hizi mbwembwe zake za 2m ndio nini sasa.
Yaani Wakurya nyie mnakuwa kama wale jirani zenu kwa misifa ya kijinga.

Kuna wakati tunakosa muda wa kuangalia mleta mada kaleta nini
 
Mkuu nunua vifaa vya ku'repair electronic devices kama vile phones,radios,videos,receivers, pianos,irons etc., halafu kabidhi kijana yeyote mwenye fani ya ufundi kama mimi na muwe mnagawa mapato kila mwezi sawa kwa sawa ungepata mafanikio makubwa sana baada ya miaka miwili au mitatu... kikubwa tu uwe na subira kwani mafanikio hayaji mbio kama cheetah ila taratibu kama tortoise!
 
mambo mazito sana ila cha kufanya :FIKIRI, PAMBANUA, TAMBUA NA CHUKUA HATUA YA ZIADA
Je wewe mwenyewe umejiwezesha mpaka unataka kuwawezesha wengine?
 
mambo mazito sana ila cha kufanya :FIKIRI, PAMBANUA, TAMBUA NA CHUKUA HATUA YA ZIADA
Je wewe mwenyewe umejiwezesha mpaka unataka kuwawezesha wengine?
ndo nini ulichoandika? Soma uelewe usikurupuke!
 
Back
Top Bottom