Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Jery, usikurupuke !! Tafadhali usitie dhaana mbovu na ovu kwa wengine. Ulimwengu huu pembe zote kuna ajira za kila aina. Mie mwanangu kaajiriwa nje ( Bahari au mcheza soka au mbeba Boxi ) Lakini heshima yake kama mchapa kazi imefana!!Yaani ule dola 2000 halafu mtoto wa watu aende kuwa Punda huko majuu,
mweee!!!
Wewe unaweza kukubali afanyiwe mwanao hivo?
Badala ya kuishia kijiweni au kuiiba/kuitwa mwizi haipo.