Huyo mbunge hana sifa za kuwa mbunge na hapa anawakilisha aina ya wabunge wengi wa CCM, 2015 tujitahidi kuingiza wabunge wenye upeo wa kufafanua mambo na kusaidia nchi hii kusonga mbele.
Huyo mbunge hana sifa za kuwa mbunge na hapa anawakilisha aina ya wabunge wengi wa CCM, 2015 tujitahidi kuingiza wabunge wenye upeo wa kufafanua mambo na kusaidia nchi hii kusonga mbele.
huenda ikawa mpwaye kapigwa penati sasa anataka kuiondoa hisabati ili mwanae akimaliza mwaka huu yasimkute kama ya mpwaye lo!Polisi huku kibilashi ni wachache basi kirahisi tu vituo vya polisi vifunge,madaktari muh2 ni wachache atasema hospitali zifungwe,nawahurumia wenye mbunge kama huyo ushauri wa bure kwao 2015 si mbali kuondokana na aibu ya mbunge kama huyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.